Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Hii ni takataka tu kama takataka nyingine
Yah...apewe tu kama KDB atakua amekufa...nasisitiza kama KDB atakua amekufa.
Ile penalty ya jana dhidi ya aston villa hadi sasa hivi najaribu kuikubali lakini akili yangu inakataa..
Hicho kiwengo chake kimesababishwa na Awamu ya 5
Mkuu embu jaribu kua serious basi japo ata kwa sekunde 1.......
Hii ni takataka tu kama takataka nyingine
KDB anajua mpira jamani daah! Halafu haongei yule jamaa ye ni Kazi tu...Pep Guardiola alishapanga kikosi chake cha wachezaji aliowahi kuwafundisha...basi walijaa wachezaji wa Barcelona then Bayern..Man city alitajwa mmoja tu..na ni yeye huyu KDB pekee kwenye first eleven ya Pep Guardiola.Hahaha kwanini mkuu?
KDB anajua mpira jamani daah! Halafu haongei yule jamaa ye ni Kazi tu...Pep Guardiola alishapanga kikosi chake cha wachezaji aliowahi kuwafundisha...basi walijaa wachezaji wa Barcelona then Bayern..Man city alitajwa mmoja tu..na ni yeye huyu KDB pekee kwenye first eleven ya Pep Guardiola.
Hapana Mkuu..tena wala simkatai Bruno anajua sana tu tena sana Ila siyo kuliko KDB mkuu.Kwani Bruno anaongea mkuu?
Hapana Mkuu..tena wala simkatai Bruno anajua sana tu tena sana Ila siyo kuliko KDB mkuu.
Wewe Kama Nan
VAR kwa man yuuu huwa inagoma kufanya kaziLakini VAR si wameikubali na wakaibariki kuwa ni penati?
bado sana.Bruno Fernandez amewasili Man Utd januari hii, na mpaka sasa ameshawaacha wale aliowakuta mbali sana, impact yake katika EPL na Man Utd imekuwa kubwa sana yaani ya moto
Mpaka sasa Bruno ameshacheza Mechi 10 za EPL takwimu zake katika EPL ni kama ifuatavyo:
Mechi - 10
Magoli - 7
Assist - 6
Jumla amechangia upatikanaji wa magoli 13
Nafasi za magoli alizotengeneza - 28
Amekuwa mchezaji bora wa mechi karibu kila mechi alizocheza!
Mimi nikiwa kama shabiki kindakindaki wa Brighton Hove & Albion na EPL kwa ujumla sio vibaya Bruno Fernandez akapatiwa tuzo ya mchezaji bora wa EPL kwa mchango wake mkubwa aliouonyesha mpaka sasa! Mapovu ruksa...
View attachment 1502701
Penalty 4Hili sasa ni povu, kwenye magoli 7 ya penati mangapi?