Pendekezo: Bruno Fernandez apewe tuzo ya Mchezaji bora wa EPL msimu huu

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,510
44,622
Bruno Fernandez amewasili Man Utd januari hii, na mpaka sasa ameshawaacha wale aliowakuta mbali sana, impact yake katika EPL na Man Utd imekuwa kubwa sana yaani ya moto

Mpaka sasa Bruno ameshacheza Mechi 10 za EPL takwimu zake katika EPL ni kama ifuatavyo:
Mechi - 10
Magoli - 7
Assist - 6
Jumla amechangia upatikanaji wa magoli 13
Nafasi za magoli alizotengeneza - 28

Amekuwa mchezaji bora wa mechi karibu kila mechi alizocheza!

Mimi nikiwa kama shabiki kindakindaki wa Brighton Hove & Albion na EPL kwa ujumla sio vibaya Bruno Fernandez akapatiwa tuzo ya mchezaji bora wa EPL kwa mchango wake mkubwa aliouonyesha mpaka sasa! Mapovu ruksa...

Adjustments.JPG
 
Bruno Fernandez amewasili Man Utd januari hii, na mpaka sasa ameshawaacha wale aliowakuta mbali sana, impact yake katika EPL na Man Utd imekuwa kubwa sana yaani ya moto

Mpaka sasa Bruno ameshacheza Mechi 10 za EPL takwimu zake katika EPL ni kama ifuatavyo:
Mechi - 10
Magoli - 7
Assist - 6
Jumla amechangia upatikanaji wa magoli 13
Nafasi za magoli alizotengeneza - 28

Amekuwa mchezaji bora wa mechi karibu kila mechi alizocheza!

Mimi nikiwa kama shabiki kindakindaki wa Brighton Hove & Albion na EPL kwa ujumla sio vibaya Bruno Fernandez akapatiwa tuzo ya mchezaji bora wa EPL kwa mchango wake mkubwa aliouonyesha mpaka sasa! Mapovu ruksa...

View attachment 1502701
Mechi vs liver alikuwepo huyu?
 
Bruno Fernandez amewasili Man Utd januari hii, na mpaka sasa ameshawaacha wale aliowakuta mbali sana, impact yake katika EPL na Man Utd imekuwa kubwa sana yaani ya moto

Mpaka sasa Bruno ameshacheza Mechi 10 za EPL takwimu zake katika EPL ni kama ifuatavyo:
Mechi - 10
Magoli - 7
Assist - 6
Jumla amechangia upatikanaji wa magoli 13
Nafasi za magoli alizotengeneza - 28

Amekuwa mchezaji bora wa mechi karibu kila mechi alizocheza!

Mimi nikiwa kama shabiki kindakindaki wa Brighton Hove & Albion na EPL kwa ujumla sio vibaya Bruno Fernandez akapatiwa tuzo ya mchezaji bora wa EPL kwa mchango wake mkubwa aliouonyesha mpaka sasa! Mapovu ruksa...

View attachment 1502701
Hicho kiwengo chake kimesababishwa na Awamu ya 5
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom