Iitwe bongo gays star.
kwa nini isibakie tu kuitwa timu ya Taifa ya Tanzania, kwani si jina tosha?Katika siku za karibuni kuwekuwepo hoja kuwa jina la timu yetu ya Taifa libadilishwe, hii inatokana na wadau wengi wa michezo kuhoji kwanini tusiwe na jina linaloakisi baadhi ya rasilimali zetu au chochote ambacho ni tamaduni yetu mfano Rwanda wao wanaitwa AMAVUBI( Manyuki), Kenye wao wanaitwa HARAMBEE STARS( Hii inatokana na umaarufu wa harambee kule Kenya hasa kwenye kuchangia maendeleao), Cameroon wao wanitwa INDOMITABLE LION( Simba wasioshindika) nk....na hoja hii haikuanza leo, ilianza tangu Maximo akiwa kocha wa timu hii...mfano Maximo alipendekeza Taifa Stars iitwe "The Blues of Africa".
Hoja hii pia iliungwa mkono na TFF siku za karibuni kupitia kwa katibu mkuu na hapa namnukuu alisema...." ............Sioni tatizo kama wadau wanapenda jina la timu yetu libadilike, sisi tuko tayari kuanzisha huo mchakato..."
Je, wewe kama mdau wa michezo na hasa soka ungependa Taifa Stars iitwe jina gani badala ya hili lasasa? PENDEKEZA JINA LAKO.