yahoo JF-Expert Member Sep 9, 2011 3,527 1,405 Dec 11, 2014 #1 Yanga wamezidisha mchezaji 1 wa kimataifa anatakiwa aondoke mmoja,ingawa mi naona aondoke hamis kiiza we waonaje?
Yanga wamezidisha mchezaji 1 wa kimataifa anatakiwa aondoke mmoja,ingawa mi naona aondoke hamis kiiza we waonaje?
yahoo JF-Expert Member Sep 9, 2011 3,527 1,405 Dec 11, 2014 Thread starter #3 Mtumpole said: Aondoke Mbuyu Twitte Click to expand... Akh we unasemaje,au umetumwa?! kati ya niyonzima na kiiza bwana
Mtumpole said: Aondoke Mbuyu Twitte Click to expand... Akh we unasemaje,au umetumwa?! kati ya niyonzima na kiiza bwana
Kiongozi Ajaye Member Nov 30, 2014 13 1 Dec 11, 2014 #6 Kiiza aondoke, nafasi kumi anafunga goli Moja. Hafai
yahoo JF-Expert Member Sep 9, 2011 3,527 1,405 Dec 11, 2014 Thread starter #7 Kiongozi Ajaye said: Kiiza aondoke, nafasi kumi anafunga goli Moja. Hafai Click to expand... anabaatisha, hana mbinu
Kiongozi Ajaye said: Kiiza aondoke, nafasi kumi anafunga goli Moja. Hafai Click to expand... anabaatisha, hana mbinu
Mtumpole JF-Expert Member Aug 30, 2010 2,278 1,282 Dec 11, 2014 #8 massoudkhamis said: Aondoke masikiyomo Click to expand... Ahadi ya Masikio Attachments 1418325544220.jpg 153.1 KB · Views: 198
W wakimataifa JF-Expert Member Nov 16, 2014 942 167 Dec 12, 2014 #9 wote tumeyasikia maoni yenu lakini maoni ya mwisho ni kocha
SERGIO JF-Expert Member Dec 13, 2012 348 145 Dec 13, 2014 #11 Nitawashangaa sana Yanga kumuacha Diego. Mlifanya hivyo kwa Steven Bengo halafu Waganda wakawashangaa sana. Sijui Yanga huwa mnapimaje wachezaji wazuri.
Nitawashangaa sana Yanga kumuacha Diego. Mlifanya hivyo kwa Steven Bengo halafu Waganda wakawashangaa sana. Sijui Yanga huwa mnapimaje wachezaji wazuri.
barafuyamoto JF-Expert Member Jul 26, 2014 32,324 29,586 Dec 13, 2014 #12 Kiiza si mmaliziaji mzuri. Anahitaji nafasi nyingi kufunga goli moja.