1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Augustine Okrah jana ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa Yanga, sitaki kuwachosha saaaana ila huyu mwamba sio mtu wa kawaida, kama uliwahi kumuona marehemu Celestine Sikinde Mbunga basi utakubaliana na mm kuwa huyu mtu boli anajua.
Okrah kachezea Simba muda mfupi tu na watu tuliona shughuli yake, ilifikia wakati tukawa tunalalamika kwann anawekwa benchi, kuna shida gani, akiwa benchi akawa anapasha tu misuli mayai kibao yanakaangwa jukwaa la Simba, hivi nani anajua masaibu yaliyokuwa yanamkuta Okrah pale Simba, kwanini hamjiulizi pale Simba alikuwa majeruhi na iweje kule Ghana awe anacheza na amefunga c chini ya mabao 6 kwa muda mfupi tu tangu aondoke Simba, utasema mbovu huyo.
Okrah sio mlevi, hata sas hv Chama anatengenezeqa zengwe aonekane hana nidhamu, anatukana makocha ili mashabiki muamini kumbe sio kweli, Okrah Magic shughuli yake mtaiona huko Zanzibar, kama ni mlevi au hajui mpira subirini muone, msituchambulie mambo ya uongo hapa, kachambueni mchele huko.
Okrah kachezea Simba muda mfupi tu na watu tuliona shughuli yake, ilifikia wakati tukawa tunalalamika kwann anawekwa benchi, kuna shida gani, akiwa benchi akawa anapasha tu misuli mayai kibao yanakaangwa jukwaa la Simba, hivi nani anajua masaibu yaliyokuwa yanamkuta Okrah pale Simba, kwanini hamjiulizi pale Simba alikuwa majeruhi na iweje kule Ghana awe anacheza na amefunga c chini ya mabao 6 kwa muda mfupi tu tangu aondoke Simba, utasema mbovu huyo.
Okrah sio mlevi, hata sas hv Chama anatengenezeqa zengwe aonekane hana nidhamu, anatukana makocha ili mashabiki muamini kumbe sio kweli, Okrah Magic shughuli yake mtaiona huko Zanzibar, kama ni mlevi au hajui mpira subirini muone, msituchambulie mambo ya uongo hapa, kachambueni mchele huko.