Pendekeza aondoke proffesional gani Yanga

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,527
1,405
Yanga wamezidisha mchezaji 1 wa kimataifa anatakiwa aondoke mmoja,ingawa mi naona aondoke hamis kiiza we waonaje?
 

Attachments

  • 1418325544220.jpg
    1418325544220.jpg
    153.1 KB · Views: 198
Nitawashangaa sana Yanga kumuacha Diego. Mlifanya hivyo kwa Steven Bengo halafu Waganda wakawashangaa sana. Sijui Yanga huwa mnapimaje wachezaji wazuri.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom