usawa wa kulia
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 454
- 153
1.. wafungwe miaka 30
2...wanyongwe
3....wagongwe
4.,wahasiwe
5...
2...wanyongwe
3....wagongwe
4.,wahasiwe
5...
1.. wafungwe miaka 30
2...wanyongwe
3....wagongwe
4.,wahasiwe
5...
Kabla ya yote pesa zirudi kwanza!
1.. wafungwe miaka 30
2...wanyongwe
3....wagongwe
4.,wahasiwe
5...
Silaha ya muoga na anayeelekea kuhishiwa hoja ni matusi .Wewe kama mwanajamvi mwenzangu nakushahuri tu tumia lugha nzuri ili tutambue mchango wako wa fikra ili tujenge taifa letu si vema kila anayekwenda kinyume na mawazo yako utumie lugha chafu bali uchukue mawazo yake kama changamoto ya kuifanyia kazi ili upate majibu safi.Naongea toka moyoni nimekusamehe bure maana ndiyo changamoto za kupingana kimawazo. kumbuka kuwa atakayepatikana na hatia atapewa adhabu kwa mujibu wa sheria na si utakavyo wewe.
Kabla ya yote pesa zirudi kwanza!
Mimi ningependelea wachomwe sindano za sumu then wakifa, maiti zao zikaushwe vizuri....alafu ziifaziwe pale makumbusho ya taifa....pamoja na bango kubwa mbele yao....HAWA NI MAFISADI.....