Pendekeza adhabu 5 kwa mafisadi wa Escrow

Siwapendi mafisadi kabisaaa!!wanakula peke yao!!na familia zao!!Ila najua mahakama ndiyo itakayotuangusha wanaweza wakawakuta hawana hatia au wakawapa adhabu ndogooo alafu ya muda mfupi!!aaah!Tumechoooka!
 
Au wachinjwe na maiti zao zikaangwe vizuri na zingine zibanikwe na kukaushwa....alafu WATANZANIA tugawane ndafu kwa ajili ya kujipooza machungu......
 
Nani wa kuwanyonga??!! Maaana anaetakiwa awanyonge ndio na yeye ni mwizi tu...hawa watu wana nguvu kubwa na kiburi hii inatokana na ulele mama wa sisi watanzania..tumelala mnoo...inakuaje watu wanaiba tuu na wanatanua mitaani bila wasiwasi
 
Silaha ya muoga na anayeelekea kuhishiwa hoja ni matusi .Wewe kama mwanajamvi mwenzangu nakushahuri tu tumia lugha nzuri ili tutambue mchango wako wa fikra ili tujenge taifa letu si vema kila anayekwenda kinyume na mawazo yako utumie lugha chafu bali uchukue mawazo yake kama changamoto ya kuifanyia kazi ili upate majibu safi.Naongea toka moyoni nimekusamehe bure maana ndiyo changamoto za kupingana kimawazo. kumbuka kuwa atakayepatikana na hatia atapewa adhabu kwa mujibu wa sheria na si utakavyo wewe.

Tatizo hadi umetukanwa ni wewe kusikia adhabu ni kutatuliwa malinda umeanza kusihi eti sheria ifuatwe mkondo wake wakati hawa wezi wamesababisha mamia ya watanzania kutaabika kwenye dhiki na wengine wanakufa kwa kukosa dawa.hebu na wewe fikilia roho za kinyama walizobeba hao wezi
 
je wewe unaweka adhabu hizo kwa mamlaka gani? Maana sheria zinatungwa na bunge pia zinatafsiriwa na mahakama tena sheria hizo zisiwe kinyume na katiba.Tuache kupelekwa kwa hisia zetu bali kanuni na taratibu tulizojiwekea tu na kama kuna madhaifu kwenye sheria basi ni bora kuweka sheria na taratibu mpya zinazofaa.adhabu ulizoorodhesha kwa mujibu wa kosa hilo haziwezi kutolewa mahakamani pia kumbuka bila ushaidi wa kutosha mahakama humuachia huru mtuhumiwa.

We sisiem jambzi?
 
kwa ufupi hapo tunajadili sheria tu si chama.Mimi si shabiki wala mwanachama wa chama chochote cha siasa ila napenda viongozi bora
 
Mimi ninachojiuliza sio aina ya adhabu wanatakiwa kupata ila ingekuwa serikali inayofuata maadili hawa viongozi wote walichota hizo pesa wanatakiwa kuvuliwa nyazifa zao zote kiserikali na kichama pia.Then wanarudisha pesa yote amehamisha vyovyote vile afilisiwe kufidia alichoshindwa kurudisha halafu jela then mahakamani akisubiri msumari wa mwisho.
 
Warudishe hela zipelekwe kwenye vikao vya bunge LA katiba lilipoishia baada ya Ukawa kutoka bungeni.
 
je wewe unaweka adhabu hizo kwa mamlaka gani? Maana sheria zinatungwa na bunge pia zinatafsiriwa na mahakama tena sheria hizo zisiwe kinyume na katiba.Tuache kupelekwa kwa hisia zetu bali kanuni na taratibu tulizojiwekea tu na kama kuna madhaifu kwenye sheria basi ni bora kuweka sheria na taratibu mpya zinazofaa.adhabu ulizoorodhesha kwa mujibu wa kosa hilo haziwezi kutolewa mahakamani pia kumbuka bila ushaidi wa kutosha mahakama humuachia huru mtuhumiwa.

ehe!!!!!! iko namna si bure
 
NApendekeza wasipewe adhabu yoyote

*Wapandishwe vyeo,wabaki navyo walivyonavyo.

*Wasirudishe pesa walizoiba,ikiwezekana waongezwe.

Maisha yazidi kuwa tight,tanesco ongezeni makato,bei za bidhaa zipande mara tatu zaidi,
2015 tutakuwa tumejifunza kuwa 2010 tuliingia thietre ya kichwa huku tunaumwa matumbo.

mweeee!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom