Luali
Senior Member
- Jan 1, 2013
- 101
- 11
Mimi najiuliza tu ; hivi hizi pembe za ndovu zinapokamatwa zinapelekwa wapi? Na kama huwa zinauzwa mbona mapato yake hayako wazi kwa wananchi? Na naona kama wakikamata hata tani 1 ndio wanazitumia kulemaza umma kujua serikali inawajibika saaaana kumbe tani kibao hazikamatwi. Wewe una maoni gani?