Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,211
- 1,185
Habari wakuu,
Ni muda sasa ninajiuliza kuhusu kisiwa cha Pemba, kwa muda nimekuwa nikifuatilia jitihada za serikali kuhusu kisiwa hiki, maana sijawahi kusikia hata jitihada zozote za serikali kuhusu kisiwa hiki. Hata sherehe nyingi za kiserikali sijawahi kuzisikia kwenye kisiwa hiki, ninaomba kujua nini kimefanya kisiwa hiki kijitenge sana wakati ni sehemu muhimu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
AU HUENDA KISIWA HIKI HAKINA SHUGHULI YOYOTE YA KIUCHUMI INAYOCHANGIA PATO LA TAIFA?
Wapemba wanasemaje kuhusu hili? Je,wana uhusiano mzuri na kisiwa cha Unguja? Je, kuwepo kwa nguvu ya chama cha CUF hapo Pemba kunakifanya kisiwa hiki kisiwe na maelewano mazuri na serikali kuu au nini kimekifanya kisiwa hiki kionekane kama kimejitenga?
NIELEWEKE MIMI SIO MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA ILA NI MDAU WA MAENDELEO YA NCHI YANGU.
Nawasilisha
Ni muda sasa ninajiuliza kuhusu kisiwa cha Pemba, kwa muda nimekuwa nikifuatilia jitihada za serikali kuhusu kisiwa hiki, maana sijawahi kusikia hata jitihada zozote za serikali kuhusu kisiwa hiki. Hata sherehe nyingi za kiserikali sijawahi kuzisikia kwenye kisiwa hiki, ninaomba kujua nini kimefanya kisiwa hiki kijitenge sana wakati ni sehemu muhimu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
AU HUENDA KISIWA HIKI HAKINA SHUGHULI YOYOTE YA KIUCHUMI INAYOCHANGIA PATO LA TAIFA?
Wapemba wanasemaje kuhusu hili? Je,wana uhusiano mzuri na kisiwa cha Unguja? Je, kuwepo kwa nguvu ya chama cha CUF hapo Pemba kunakifanya kisiwa hiki kisiwe na maelewano mazuri na serikali kuu au nini kimekifanya kisiwa hiki kionekane kama kimejitenga?
NIELEWEKE MIMI SIO MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA ILA NI MDAU WA MAENDELEO YA NCHI YANGU.
Nawasilisha