Pedicure na manicure: Hatari sana kwa ndoa zetu na mahusiano kwa ujumla wake!

siku nyingine hii kazi uje unifanyie nyumbani baba watoto akisafiri,kijana-teh teehe teehe usihofu dada.vbinti--akuu afu hilo jina la dada me sipendi kusikia
teh teh teh teh.................. jina la dada ndo sipendi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
ni ukweli na wala sitanii waungwana,..
nilihisi, na nimeambia wazi, na hatimaye kuthibitisha
kuwa manzi (mtoto wa UDSM) wangu anachukuliwa na hawa vijana wanaojishughulisha na kuchezea kucha
na miguu ya akina mama/dada zetu...(ni jinsi gani nimethibitisha, ilo niachieni ila nipeni ushauri, niko serious wakuu)
nimemkataza kasema yeye hawezi kujitengeneza mwenyewe, so um thinking of learning the process za pedicure na manicure...lol

ishu nyingine ninayotaka kusema hapa, je ni nani mchokozi hapa:mteja au mhudumu?
maana mikao ya hawa wenzetu wakiwa katika iyo huduma utata mtupu...
lakini pia hawa wanaocheza na kucha na vidole nao wanajua jinsi ya kumkuna mtu na akasikia raha(uchokozi thing)

e bana mm naona chenga tupu!!

shida yako na huyo mkeo sio pedicure, jifunze kumfanya vyema
 
Kwa mtazamo wa haraka nimeona wanawake wanapenda kuhudumiwa na wanaume na wanaume wanapenda kuhudumiwa na wanawake.
 
masaaibc.jpg


hii nayo... wamekuja mjini kusuka sio kulinda na kuuza dawa.. ila hawa jamaa na stail yao ya nywele ni profesional au?

Sikutishi mji haufai,wamasai hawachungi ng'ombe,huku wanalinda magari washaiba dili ya ya wamakonde mji ulivvyokuwa nishai,siku hizi hawawindi simba wanasuka dada zetu mji ulivyokuwa nishai,huwezi kuwa mtu usipokuwa na dili ya mkwanja..AY/FA
 
Back
Top Bottom