hata wanaume tunafanyiwaga kiutaratibu, wao wako kazini ila ikizidi ni noumer.
Aisifiaye mvua, imenyea... kwann awasifie wakaka tena mbele yako..? hongera we unamoyo mkuu as u said its all about trust(nimeipenda).. ila mi SIWEZI sitakagi kwanza mke wangu amfie mwanaume mwingine mbele yangu.. ukiona hivyo ujue kuna ka-weekness anajaribu kukwambie indirect.. mi napenda wife awe muwazi na namshukuru Mungu kwa hilo
Nililazimika kununua vifaa vya kufanyia hiyo kitu ili kuondoa possibility kwa Mama Ngina kwenda kutafuta huduma hiyo nje ya nyumbani.
Ni vyema kuchukuwa tahadhari, maana usisubiri kuambiwa, "Ni shetani tualinipitia wallahi"
Huwezi amini nanunua mwenyewe, kwani maduka siyajui......................Aaaaaaaaah Mtambuzi acha utani!
Bra na kufuli ananunua wapi???
Samito u just made me lough big time! Unajua sio misemo yote inaleta maana ile ile "Eti aisifiaye mvua". Pia inategemea aina ya sifa zitolewazo, mkeo akiwa shabiki wa Simba na akamsifia Kaseja mbele yako utafanyaje???
Nini tafasiri ya kuwa muwazi??
Kipi bora akwambie ujue au amute lakini anafurahia huduma ya Mkongo man....hahahahaaaaa
Mwisho wa siku "It all about trust"
hii haikubaliki.....
kama usemi wa vodacom,,,,, KAZI NI KWAKO... haya wekeni maneno
Hapa ni utata mtupu:
Wife wangu huwa anasifia kwamba kina kaka wanajua kuosha nywele vizuri.
Sasa BAGAH uniambie: ukitaka kufanyiwa scrub, utapenda akuhudumie mwanamke au mbaba mwenzio????
At day end its all about trust!!
Huwezi amini nanunua mwenyewe, kwani maduka siyajui......................
Mimi nina wivu bana...............Mungu mwenyewe ana wivu seuze mimi!
Kuwa muwazi maana yake ni akwambie akipendacho ili umtimizie na sio kusifia kitu akidhani kuwa ur learning something kumbe hamna..!
kwenye swala la mfano wa kaseja hiyo sio mbaya maana anasifia mchezo anaocheza (anaofanya) lakini mtu anaemuosha (anaemfanyia) hapo tayari kunakuwa na ka-ulinganisho ambapo kama una akili inabidi ujifunze kitu. angalizo mkuu, sina maana ya kukufanya ukaenda kumkunjia sura shem leo ila najua wanawake wengi wana hako kamchezo hasa anapoona kila akwambiacho kujfanyi mwishowe watakwambia kitu ujiskie wivu lakini wakiwa na lengo la kukubadili..!
Mmmmh!Mmh! Wachokozi sana wale, tena wengine washnzy huwa wanatekenya kwenye miguu. Kuna mmoja nilimpa bonge la sonyo na konzi juu. Hadi leo ana adabu.
hata wanaume tunafanyiwaga kiutaratibu, wao wako kazini ila ikizidi ni noumer.
Nililazimika kununua vifaa vya kufanyia hiyo kitu ili kuondoa possibility kwa Mama Ngina kwenda kutafuta huduma hiyo nje ya nyumbani.
Ni vyema kuchukuwa tahadhari, maana usisubiri kuambiwa, "Ni shetani tualinipitia wallahi"