Pd port prooooooooxyyyyyy

Duu kaka umewavuta wengi
kumbe ni WELCOME 2014
.
.

.
 
umeona eeeh mi nilimsoma toka mwanzo huyu mdau sijui vipi yaaani nashindwa kumuelewa
 
habari wanajamvi naomba mnisaidie kama kuna uwezekano wakufanya sharing ya intaneti kwenye computer kwa kutumia https system ya tunnel guru kama ilivyokuwa inafanyika kwenye pd proxy sasa tatizo hii haina tap32 adapta.. msaada tafadhari kwa anayejua..shukrani
 

Dah! Hii kitu hata mimi imetoa jasho, Ngoja tusubiri wataalam waje watupatie darsa hii ni JF maujuzi.
 
Tokea DEVO wakate ile mirija ya kunyonyea watu wanaweweseka mno!!Kifupi hakuna open port kwa basi lile lililopinduliwa isipo kuwa zile route za pwani tu kwa lile bus la spana mkononi. Nadhani anchofanya huyu wanatamani ni mchezo wa kitoto coz atakuwa anaconnect na sim ambayo tayari ameiunga Bando na siyo 00 kama tulivyozoea. Wale watakao jaribu itawacost coz mkwanja utaliwa kabla kama wanadaiwa updates kwenye pc zao labda watumie kwa Kabaang ndo itakuwa afwadhali.Baadaye nitapandisha trick kule stoo najua siyo mpya but itawabeba wadau KRAPKA DAVINOOOO!!!
 
Last edited by a moderator:
Baadaye nitapandisha trick kule stoo najua siyo mpya but itawabeba wadau KRAPKA DAVINOOOO!!!
  • Idadi ya waenda store wataongezeka
 

Safi sana mkuu,this is the kind of brevity and seriousness we always want to see.
Umbea na habari za kishakunaku hazifai....
 
Kuna njia natumia na share hiyo http kwenye simu yangu
 

kaka naomba unifahamishe ulivyokuw aukifanya kwenye pd? miscall me 0779420000
 
kaka naomba unifahamishe ulivyokuw aukifanya kwenye pd? miscall me 0779420000

Wote kizungu zungu!!
Kwa taarifa yako TG http tunnel ndiyo inasupport sharing kwa kucreate wi-fi hotspot utakayo tumia kwa simu au computer au kifaa chochote kinachohitaji net via wifi.
Aidha kwa hii TG unaweza kuconnect modem hata 10 na kupata speed ya ajabu.
Kinyume chake PD proxy hairuhusu kabisa sharing sema tu unaweza kutumia account yako kwenye pc yoyote hile yaani ukibeba software yako popote unatumia tofauti na TG wenye mambo ya TG no.
 
PD Proxy Vs Sharing

 

sasa kaka naomba utufahamishe....
 
use virtual router software, turns your pc into a hotspot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…