basi tena hapo nimeishakosa
Sio kweli! Uchambuzi wa maombi bado unaendelea na unategemea kukamilika January 2014. Jumla ya maombi ni 46,000, shortlist itakua 2000 tu!
Huyo nadhani kaenda kuhojiwa cheti cha darasa la saba kakitoa wapi wakati serikali ilisitisha kutoa vyeti vya std seven mwaka 1993 mpaka 1999 waliomaliza mwaka 2000 ndo walikua na vyeti na kuendelea wale waliotoa feki kariakoo mtanyoosha maelezo
Huyo nadhani kaenda kuhojiwa cheti cha darasa la saba kakitoa wapi wakati serikali ilisitisha kutoa vyeti vya std seven mwaka 1993 mpaka 1999 waliomaliza mwaka 2000 ndo walikua na vyeti na kuendelea wale waliotoa feki kariakoo mtanyoosha maelezo