pccb usimamiz majanga

pccb usimamiz majanga

mjasiliamali14

Senior Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
147
Reaction score
21
pccb wameshindwa kuwa na utaratibu mzuri wa kukusanya mitiani mpaka umepelekea watu kupiga chabo na kugoogle nxt tym mjilekebishe kwenye usimamizi sio mnawaambia watu wasimame wote kwenda kukusanya
 
We nae ushafel tuu unaanza waonea wivu vilaza wenzio,kuleee
 
Mi mwenyewe nilipiga chabo ! Et mkono mmoja...haaa! Miye pwani nimekaa lini? Hee!
 
pccb wameshindwa kuwa na utaratibu mzuri wa kukusanya mitiani mpaka umepelekea watu kupiga chabo na kugoogle nxt tym mjilekebishe kwenye usimamizi sio mnawaambia watu wasimame wote kwenda kukusanya

Kweli pccb kwenye usimamizi wamechemsha saana, pale hakuna kitu kwani haiwezekani paper hiyo moja wanafanya shift mbili ni sawa na paper kuliki kwani walio ingia mara ya pili walikua wanajua nn wanaenda kuulizwa.It wasnot fair,kama vp iludiwe na wajipange vizuri.
 
pccb wameshindwa kuwa na utaratibu mzuri wa kukusanya mitiani mpaka umepelekea watu kupiga chabo na kugoogle nxt tym mjilekebishe kwenye usimamizi sio mnawaambia watu wasimame wote kwenda kukusanya

Hivi lini tanzania na taasisi zetu tutakua sereous kwenye issue muhimu kama hizi? Mnajua kabisa ajira shida ss kwenye ajira kama hizi ambazo wengi wanategemea ,wanashindwa kusiamamia.Jamani rudieni Hiyo paper ili iwe fair.kwa kweli mmechemsha kwenye usimamzi. Dr. HOSEAH Take action immediate
 
Usiwe na mtazamo hasi mkuu.wewe unahakika gani unachokiongea
 
Rushwa! Rushwa! Rushwa! Rushwa! Rushwa! Rushwa.........................................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kwan nyie wakat mmeitwa kwe intaviu mlikua mmesaau yale mambo ya utumishi,akuna gen apo,kila ki2 ni kile kile,yan cku iz kila alieomba na akakiz vgezo hua anaitwa kwajil ya intaviu ili kuzuga kua watafanyia kaz mitian mliofanya,kwa kfup izo posts olready zna wenyewe, nyie mlikua mnacndkiza tu apo,nakupotezewa nauli yenu na paspot size zenu,.polen bana ndo bongo na ajira za kujuana,
 
Israel nimepiga pepa mm nnayosema ni ukweli mtupu wasimamizi walikuwa wapo kma, Vivuli hawajui taratibu za kusimamia kawaida pepa ya kusign uwainapita wakati mtian ukiendelea ss hawa jamaa wakaweka utaratibu wao wakusign na kukusanya mwishon na kuwaachia watu wote wasimame kukusanya uku wakijua wao wapo kum na watu wapo elfu tatu ilikuwa pata shika
 
Last edited by a moderator:
Israel nimepiga pepa mm nnayosema ni ukweli mtupu wasimamizi walikuwa wapo kma, Vivuli hawajui taratibu za kusimamia kawaida pepa ya kusign uwainapita wakati mtian ukiendelea ss hawa jamaa wakaweka utaratibu wao wakusign na kukusanya mwishon na kuwaachia watu wote wasimame kukusanya uku wakijua wao wapo kum na watu wapo elfu tatu ilikuwa pata shika

Unatoa ushauri gani hapo.
 
Last edited by a moderator:
fidel80@ushauli wangu warudie pepa wamechemka kwa style ile hauwez fanyisha watu pepa moja kwa shift mbili na wasimamizi walikuwa wachache mno
 
Unatoa ushauri gani hapo.

Mimi nashauri paper iludiwe kwa kuzingatia yafuatayo: 1.Aptitude Test isimamiwe na PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT (PSRS) wana uzoefu wa usimamizi na wapo seriouis na kazi, 2.Mahali pawe DUCE ambako idadi yote ya watu 3000 itatosha, 3.Majina yabandikwe ubaoni na namba zake ili kila mmoja anaingia kwa urahisi kuliko ilivyofanyika kwa kutumia muda mrefu kwa ajili ya kupata namba.Kwa kufanya hivyo angalau haki kidogo itatendeka ,tofauti na hapo tutaamini hivi tunavyo amini kuwa ni kiini macho
 
Back
Top Bottom