Tayari ndugu nenda http://www.pccb.go.tz/images/stories/adverts/APTITUDE TEST.pdf
Mkuu ulifanikwa kuitwa kwenye usaili? Vipi ilikuwa wa aina gani japo nahisi watakuwa walishabadili.Habari zenu wana jf
naomba kujuzwa mwenye tetesi kuwa pccb wataita lini coz ndo sehemu pekee tunayoitegemea na kuhusu interview zao huwa zinzkuwaje?
natanguliza shukran zangu!