Abdulbastwa
Member
- Jul 24, 2012
- 22
- 2
Habari za jioni wanajamvi.
Naomba kuuliza mwenye taarifa ya majibu ya oral interview ya pccb, mwanzoni niliambiwa wiki 2 baada ya interview sasa ni mwezi kasoro, tafadhali mwenye update atusaidie.
Nawasilisha
Kuwa na subira kijana.
mpaka itakapotangazwaawe na subira hadi lini sasa
habari ya jioni wakuu, nacikia jamaa wameanza kuita watu kazini kwanza kwa wale Wenye address za Dar, ni kweli? kuna mtu humu ndani ameshapigiwa?...
Kazini si kweli...? Hao watapigiwa kufahamishwa wamefaulu alafu watajiandaa na mafunzo..
Kazini si kweli...? Hao watapigiwa kufahamishwa wamefaulu alafu watajiandaa na mafunzo..
Mafunzo hayo ni ya aina gani ndugu?
Ya Kijeshi jeshi, miongoni mwa vitu unavyotakiwa kujiandaa kisaikolojia ni kugalagala chini na kutembea kwa magoti.
Duh aisee kumbe ni jeshi kabisa? Kila la kheri zao
Sasa Mkuu, bila mafunzo ya aina hiyo utawezaje kupambana na mtoa rushwa utakayemkuta akitoa rushwa halafu akakutishi ana cha moto halafu wewe unataka kumtia mbaroni ?
Ya Kijeshi jeshi, miongoni mwa vitu unavyotakiwa kujiandaa kisaikolojia ni kugalagala chini na kutembea kwa magoti.
Kuwa mpole tutawajurisha muda si mrefu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Haya kila la kheri lakini hivi wanachaguliwa kwa vigezo gani hawa watu? Ukute wengine wamefika hapo kwa rushwa, sasa mbwa kala mbwa hii dah anyway tutafika tuu
Hapana mkuu, hakuna anayeingia kwa rushwa, watu wamefanya interview tena kali.