Sidhani kama 'hiyo test' ina umuhimu kwake hata akipata 105 percent hawezi kuitwa kwa sababu hakuwepo kwenye short list...labda kama alikuwa anatafuta experience ya aptitude test.
Halafu mwenyewe unaongea kwa kujisifu..!!(Wastage of time).
Sidhani kama 'hiyo test' ina umuhimu kwake hata akipata 105 percent hawezi kuitwa kwa sababu hakuwepo kwenye short list...labda kama alikuwa anatafuta experience ya aptitude test. Halafu mwenyewe unaongea kwa kujisifu..!!(Wastage of time).
Eti ...MALIZIA METHALI ZIFUATAZO
1.MSAFIRI MASKINI..........
2.MKONO MMOJA.........
HESABU SASA
6×0=
7×6=
haaaaa yaaani saa 6 mpaka saa kumi na moja ndo tunaanza jamani hali inatisha ....
mmmh wamekosea mimi ninavyoelewa test kama hizi huwa zinakuwa general kwa kitu ulichosomea sio mtu kasoma engineering unaenda uliza maswali kama hayo, waige wezao ama diageo or sabmiller waone