PCCB gives damning testimony on Escrow cash

PCCB gives damning testimony on Escrow cash

PCCB ushahidi wowote wanatakiwa kuupeleka mahakamani na si bungeni.Chochote wanachokusanya ni tuhuma tu zinazotakiwa kuthibitishwa na mahakama tu.Hata kama ilikusanya ushahidi wa nani kapewa au la wao hawana mandate ya kusema ni huyu na huyu ni mahakama pekee iwezayo tamka hivyo.

PCCB nadhani si chombo cha kisiasa na ijitahidi kubakia hivyo.
PCCB sio kikosi cha umbeya ambapo wakipata kitu wanaenda kubwabwaja mitaani au bungeni!!!!

mkuu mbona kama umechukizwa hivi na report ya pccb,hayo waliyofanya ni maelekezo ya bunge sasa hasira za nini.Ni mfumo wa nchi hii ndo mbovu ila wangeshawapeleka mahakamani saa nyingi
 
PCCB ushahidi wowote wanatakiwa kuupeleka mahakamani na si bungeni.Chochote wanachokusanya ni tuhuma tu zinazotakiwa kuthibitishwa na mahakama tu.Hata kama ilikusanya ushahidi wa nani kapewa au la wao hawana mandate ya kusema ni huyu na huyu ni mahakama pekee iwezayo tamka hivyo.

PCCB nadhani si chombo cha kisiasa na ijitahidi kubakia hivyo.
PCCB sio kikosi cha umbeya ambapo wakipata kitu wanaenda kubwabwaja mitaani au bungeni!!!!
Wewe East African EagleMbona unatoka povu, hivi unajua kuwa moja ya ripoti zilizoko pale bungeni ni pamoja na ya PCCB!Unashupaza shingo buree subiri dawa iingie, hapo hakuna siasa toka PCCB!Kazi imefanywa kitaalam, mapendekezo yametolewa kitaalam, Majadiliano yatafanyika kisiasa bungeni kwa takwimu za kitaalamu, then wa kwenda mahakamani watapelekwa kujibu tuhuma!Sasa kama mmoja wa majaji ni beneficiary nadhani hata hukumu ifanyike bungeni tu, isije kuwa kesi ya nyani.............!
 
Last edited by a moderator:
Thanks now Ngoma Inogiles. Yes wacha wapate tumbo joto siyo kils saa kupata raha tu. Yule muhaya alichota pesa kweli bado yupo nchini au ameisha sepa.

Mkuu uelewe yule mhaya Rugemalira hili halimfiki kwani alikuwa ameshauza share zake 30% kwa PAP kwa $75.000.
 
PCCB ushahidi wowote wanatakiwa kuupeleka mahakamani na si bungeni.Chochote wanachokusanya ni tuhuma tu zinazotakiwa kuthibitishwa na mahakama tu.Hata kama ilikusanya ushahidi wa nani kapewa au la wao hawana mandate ya kusema ni huyu na huyu ni mahakama pekee iwezayo tamka hivyo.

PCCB nadhani si chombo cha kisiasa na ijitahidi kubakia hivyo.
PCCB sio kikosi cha umbeya ambapo wakipata kitu wanaenda kubwabwaja mitaani au bungeni!!!!

Hapo ndipo tatizo lilipo. PCCB hawana uwezo kupeleka shauri lolote mahakamani. Mwenye mamlaka hayo ni DPP na ana uwezo hata wa kukataa kuipeleka mahakamani na kuifuta na hahojiwi na chombo chochote kile na ni mteule wa raisi. Ndio maana siku zote kilio ni PCCCB ipewe meno.
 
Mimi nadhani hawa jamaa wanajua mwakani watakuwa wapinzani ndio maana wanataka kuondoka na kila akiba ya hela ndani ya mifuko ya serikali. Ili Ukawa itakapo shika nchi wakute hakuna hela ya kulipa mishahara na wahisani wawe hawapo tena na maendeleo kukwama.

Hayo ni mawazo tu na watz wetu hawachelewi kusahau na kuzidi kuwapa kura. Wataondokaje madarakani?
 
Hahahaha, ngoma inogile, i cant wait to see the report being presented in Parliament. Anguko kubwa la ccm na serikali yake, let hope things wont be maneuved.
 
PCCB ushahidi wowote wanatakiwa kuupeleka mahakamani na si bungeni.Chochote wanachokusanya ni tuhuma tu zinazotakiwa kuthibitishwa na mahakama tu.Hata kama ilikusanya ushahidi wa nani kapewa au la wao hawana mandate ya kusema ni huyu na huyu ni mahakama pekee iwezayo tamka hivyo.

PCCB nadhani si chombo cha kisiasa na ijitahidi kubakia hivyo.
PCCB sio kikosi cha umbeya ambapo wakipata kitu wanaenda kubwabwaja mitaani au bungeni!!!!

Nakuona unahangaika sana , angalia usije kufa kwa shinikizo la damu.
Ukitaka maisha ya Amani acheni wizi wenu.
 
A theory is not a theory until it is tested.You will be surprised when results of elections are announced.

Tatizo ni njaa na umasikini wa wapiga kura. Kama hela hizohizo zilizoibiwa zikienda kutumika kuwashawishi wenye njaa kuwachagua haohao waliotuhumiwa unadhani wataacha kuwachagua? Ndio mana kuna haja ya kuwa na electoral college ili wapiga kura wawe ni wale tu wenye uelewa.
 
Mkuu ...take it from me.. do not underestimate these evil genius they are capable of anything.We have a moral decadency and no accountability at all in our country.Every thing is crystal clear but it goes without a say as days follows night that the ruling party is partly responsible for what is transpiring....and indeed it will do everything at her disposal to derail the move in a Machiavellian style . Majority of our leader in power are evil and corrupt we just need a coup de tat to get rid of this regime.It is rotten and broken irreparably.

That is not acceptable, you should suggest the other way round of removing them from power and that is through ballot box.
 
What hurts the most is,even this shal pass,tanzania is the simplest country to govern,no one cares,evertthng is no bodies busness,hivi seriously.how such alot of money be emblezzled and we citezens just are siting and waiting to.see wats gonna happen??we have to do something people...!!
 
Its real pccb is not pilitical part.
Play ur part in escrow...!
 
Kwa hiyo ushahidi wake kuwa hela zimeibiwa kaupeleka FACEBOOK? Ni mahakama ipi iliyosema hela za Escrow zimeibiwa? Kamuulize huyo Jaji wako aeleze mahakama iliyotamka kuwa kuna wezi wameiba ESCROW.

Wa aina yako mpo wengi humu jamvini na hamzidi kumi. Unatakiwa uelewe kazi za mahakama na pia kazi za wakaguzi wa mahesabu na wenye mamlaka ya kufungua mashtaka mahakamani inapobidi.
 
PCCB and CAG they done their work,but court and Politicians will never handle this
 
PCCB ushahidi wowote wanatakiwa kuupeleka mahakamani na si bungeni.Chochote wanachokusanya ni tuhuma tu zinazotakiwa kuthibitishwa na mahakama tu.Hata kama ilikusanya ushahidi wa nani kapewa au la wao hawana mandate ya kusema ni huyu na huyu ni mahakama pekee iwezayo tamka hivyo.

PCCB nadhani si chombo cha kisiasa na ijitahidi kubakia hivyo.
PCCB sio kikosi cha umbeya ambapo wakipata kitu wanaenda kubwabwaja mitaani au bungeni!!!!

Wewe pamoja na hao waliokupa likes, munafahamu jambo hili lilivyoanza na uchunguzi ulivyoanza? Naona munaingiza ujuaji wa mitaa ya msimbazi. Fuatilia CAG na PCCB walichunguza kwa sababu gani, siyo kulipuka tuuu nawe unasema umechangia.

Au PCCB wamekukera kusema upuuzi wa serikali hii inayoitwa ya CCM?
 


But at the time when the PAP-IPTL acquisition was being endorsed by TRA, PAP, in the previous two weeks, already received $122 million(Sh201 billion) from the escrow account at BoT.


Source: The Citizen


Kwahiyo kampuni nunuzi ililipwa hela hata kabla ya manunuzi kukamilika? Duh!!
 
Mi siwezi amini kama kweri kuna afisa wa TRA aliyewajibishwa kwa ukwepaji huu wa kodi kama Bosi huyu wa TRA anavyojigamba, kwani hatujawahisikia kitu kama hicho. Hii ni kulinda kibarua chake kisiote nyasi
 
PCCB ushahidi wowote wanatakiwa kuupeleka mahakamani na si bungeni.Chochote wanachokusanya ni tuhuma tu zinazotakiwa kuthibitishwa na mahakama tu.Hata kama ilikusanya ushahidi wa nani kapewa au la wao hawana mandate ya kusema ni huyu na huyu ni mahakama pekee iwezayo tamka hivyo.

PCCB nadhani si chombo cha kisiasa na ijitahidi kubakia hivyo.
PCCB sio kikosi cha umbeya ambapo wakipata kitu wanaenda kubwabwaja mitaani au bungeni!!!!

Walipewa maelekezo ya ukaguzi na bunge sio mahakama! Jamani mtawatetea wezi mwisho mtakufa kwa pressure!
 
Anyway na hili litapita kama yale mengine. Tutawashauri na kuwabembeleza warudishe pesa yetu. Wakikaidi basi tufanyeje
? ImageUploadedByJamiiForums1416508320.756176.jpg
 
Mhaya is a nice man is investing in his country. Ndiye mwingizaji Mkuu wa Windhok na anatengeneza kiwanda hapa nchini huko tanga
 
Back
Top Bottom