Never Settle
Senior Member
- Dec 9, 2017
- 166
- 136
Jamani kwa anaefahamu kuhusu kozi ya chemical and industrial engineering kama mtu was PCB anaweza somea na vigezo vyake , please anisaidia . thanks
HuweziJamani kwa anaefahamu kuhusu kozi ya chemical and industrial engineering kama mtu was PCB anaweza somea na vigezo vyake , please anisaidia . thanks
Vip kuhusu BAMHuwezi
Hauna advanced math
Huwezi
Hauna advanced math
Vip kuhusu BAM
huruhusiwi hadi uwe na pure mathNa vipi kuhusu chemical and processing engineering nayo inagoma?
Jaribu ku apply unaweza pataNa vipi kuhusu chemical and processing engineering nayo inagoma?
Sawa ntalifanyia kaziAchana na hiyo kozi utakufa njaa. Kama kuna uwezekano kasomee Pharmacy! Ukiwa Pharmacisyt, hata cheti chako ukikiweka kwenye duka la dawa, hiyo ni hela tayari. Yani hapo hujaamka nyumbani kwako kwenda sehemu yeyote. Ningejua mapeama hata mie ningesomeaga madawa. Hii ni ajira ya milele.
Jamani kwa anaefahamu kuhusu kozi ya chemical and industrial engineering kama mtu was PCB anaweza somea na vigezo vyake , please anisaidia . thanks
nimeona hapo wanasema angalau E ya bam![]()
Unashauriwa ufanye utafiti kwa umakini kabla kuanza kusoma. Uliyoitaja wewe na inayofundishwa hapo mzumbe ni vitu viwili tofauti!!Sio hesabu hiyo wala siyo principle advanced math ni pure
Apart na kozi za afya ,mtu wa PCB anaweza akasoma kozi gani?Unashauriwa ufanye utafiti kwa umakini kabla kuanza kusoma. Uliyoitaja wewe na inayofundishwa hapo mzumbe ni vitu viwili tofauti!!
Chemical engineering inafundishwa udsm pekee na unasoma miaka 4 na sio mi 3 na lazima uwe umesoma pcm na sio pcb!!
Kwa kuongezea tu, hiyo ya mzumbe sio kozi ya engineering na ukimaliza usitarajie kuitwa au kusajiliwa kama engineer!!
Wameweka hilo jina la engineering ila haina contents za uhandisi ndani, hiyo inahusu management ya viwanda tu kazi ambayo hata mtu wa management, au bicom au acount anaweza fanya!!
Hamna kozi ya uhandisi inayofundishwa miaka 3 kwa mtu anaye tokea form6!!
Uko sahihi wao wanataka E ya BAM na sio pure maths!!
Fanya reseach kwa umakini usije ukajuta badae...
Kama ni ushauri ningekushauri usome pharmacy ila kwa sababu unataka kozi tofauti na za medicine jibu ni fupi tu, unaweza soma zote ambazo hazihitaji Pure maths!!!Apart na kozi za afya ,mtu wa PCB anaweza akasoma kozi gani?
Asante mkuu kwa kutambua hilo pharmacy ndo kila kitu kwa sasa namalizia ka mwaka kangu nianze cheza na dawa na pesa at the same timeAchana na hiyo kozi utakufa njaa. Kama kuna uwezekano kasomee Pharmacy! Ukiwa Pharmacisyt, hata cheti chako ukikiweka kwenye duka la dawa, hiyo ni hela tayari. Yani hapo hujaamka nyumbani kwako kwenda sehemu yeyote. Ningejua mapeama hata mie ningesomeaga madawa. Hii ni ajira ya milele.
Hongera... Hadi hapo ushatoka. Pesa ndogo ndogo za kula huwezi kosa as long as uko hai... Ufamasia ni ajira ya kudumu.Asante mkuu kwa kutambua hilo pharmacy ndo kila kitu kwa sasa namalizia ka mwaka kangu nianze cheza na dawa na pesa at the same time
Upo sahihi mkuu likizo tuu huwa napiga vi tempo hela mbili tatu hukosiHongera... Hadi hapo ushatoka. Pesa ndogo ndogo za kula huwezi kosa as long as uko hai... Ufamasia ni ajira ya kudumu.
Jipe moyo hupajui mtaani vizuri wew na hiyo phamacy yako.... Usijiaminishe sana.... maisha ni hayakaririwi mkuu.... utaelewa ukimaliza chuoAsante mkuu kwa kutambua hilo pharmacy ndo kila kitu kwa sasa namalizia ka mwaka kangu nianze cheza na dawa na pesa at the same time