PC inapeleka chaji ikizimwa tu.

Tanayzer

JF-Expert Member
Apr 13, 2017
3,009
7,306
Wakuu habarini sana...

Wakuu nina kaPC kangu kaHP mwaka mmoja sasa...Kifupi hakajawahi kuwa na tatizo lolote zaidi mambo ya Window kucorrupt na mambo kama hayo.....

Sasa wakuu kuanzia juzi nimegundua changes kidogo nikitaka kuiweka chaji ikiwa imewaka na inatumika basi haipeleki kabisa na inawaka tu kitaa cha kijani kuonesha chaji inafanya kazi ila moto ndo hauonekani kusukuma betri....

Wakuu tatizo hili linatokana na nini na dawa ya tatizo ni nini haswa...

Shukrani wakuu kwa msaada mtakaonipa!!
 
Tatizo chaja yako bro...na me nshapaga tatizo hilo..nikaongea na fundi akanipiga fix kwamba et system charg...nikawa sna ela nkarudi geto...nilikuwa natumia multi charder chaja yenye sehemu nyng za kuchajia...hvyo nkaamua kuchukua chaja nyngne kwa mshikaj baada ya kutest ikapeleka poa tu...so nkatengeneza tu chaja....system chaja ikiunga basi hawez kabisa kupeleka chaja
 
Tatizo chaja yako bro...na me nshapaga tatizo hilo..nikaongea na fundi akanipiga fix kwamba et system charg...nikawa sna ela nkarudi geto...nilikuwa natumia multi charder chaja yenye sehemu nyng za kuchajia...hvyo nkaamua kuchukua chaja nyngne kwa mshikaj baada ya kutest ikapeleka poa tu...so nkatengeneza tu chaja....system chaja ikiunga basi hawez kabisa kupeleka chaja
Mkuu kwako ilikuwa charger lakini Toshiba huwa zinapata sana tatizo kama hilo la laptop ya mleta mada na shida ni hiyo charging system kwenye mainboard ya hiyo laptop kuna chip flani inakuwa mbovu ukibadili tatizo kwisha.

Kwa kusema hivyo namaanisha fundi wako hakuwa mbali sana mojawapo ya matatizo na solution ya tatizo kama hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom