Kagera angekosa zile pointi 6 kutoka kwa simba angeshuka moja kwa moja bila kucheza 'play off'! Ama kweli kila mtu na kibonde wake!
Hivi kuna kanuni ya ' head to head katika ligi yetu? Kama ni kweli nitaumia sana!Taarifa zilizopo kagera sukari ameshuka kwa sheria ya head to head na stand united hivyo stand united atacheza play off na pamba source ni e sport jion hii
Kabisa .. kagera ametuzoea sanaKagera angekosa zile pointi 6 kutoka kwa simba angeshuka moja kwa moja bila kucheza 'play off'! Ama kweli kila mtu na kibonde wake!
Kagera ameshuka daraja nasikiaKagera angekosa zile pointi 6 kutoka kwa simba angeshuka moja kwa moja bila kucheza 'play off'! Ama kweli kila mtu na kibonde wake!
Wanadai wamelingana magoli yakufungwa na kufunga hvyo waliangalia head to headHivi kuna kanuni ya ' head to head katika ligi yetu? Kama ni kweli nitaumia sana!
Kushuka kwa Kagera itakuwa habari njema kwa Simba! Wamepigwa game 3 mfululizo za ligi, ikiwemo ile waliopigwa mbele ya jiwe! Meck Mexime sijui alifeli wapi jamaa yetu!Wanadai wamelingana magoli yakufungwa na kufunga hvyo waliangalia head to head
Tatizo hua wanakamia mechi za Simba tu,acha washuke ili akili zikae sawa.Nguvu wanayotumia kucheza na Simba ingetumika hiyo hiyo pia kwa mechi zote hakika wangechukua ubingwa.Kushuka kwa Kagera itakuwa habari njema kwa Simba! Wamepigwa game 3 mfululizo za ligi, ikiwemo ile waliopigwa mbele ya jiwe! Meck Mexime sijui alifeli wapi jamaa yetu!