SirAlfred006 JF-Expert Member Joined Sep 21, 2020 Posts 551 Reaction score 1,304 Feb 22, 2024 #1 Niko hapa kwa issue zako zote za PayPal. Nione
SirAlfred006 JF-Expert Member Joined Sep 21, 2020 Posts 551 Reaction score 1,304 Feb 22, 2024 Thread starter #2 [emoji817][emoji1548]
SirAlfred006 JF-Expert Member Joined Sep 21, 2020 Posts 551 Reaction score 1,304 Feb 22, 2024 Thread starter #3 Inbox
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 26,259 Reaction score 39,482 Feb 22, 2024 #4 Mkuu Hii huduma imwruhusiwa na wahafidhina BOT? Maana wao kutwa kuforecast upungufu wa dola huku wakiembarass mifumo maridhawa ya online transactions Weka mawasiliano tukufikie
Mkuu Hii huduma imwruhusiwa na wahafidhina BOT? Maana wao kutwa kuforecast upungufu wa dola huku wakiembarass mifumo maridhawa ya online transactions Weka mawasiliano tukufikie
S shimwa JF-Expert Member Joined Apr 11, 2017 Posts 1,907 Reaction score 1,439 Feb 22, 2024 #5 Nimeipenda
Bueno JF-Expert Member Joined Aug 16, 2022 Posts 34,609 Reaction score 59,647 Feb 22, 2024 #6 Msanii said: Mkuu Hii huduma imwruhusiwa na wahafidhina BOT? Maana wao kutwa kuforecast upungufu wa dola huku wakiembarass mifumo maridhawa ya online transactions Weka mawasiliano tukufikie Click to expand... BOT hawaitaki hio
Msanii said: Mkuu Hii huduma imwruhusiwa na wahafidhina BOT? Maana wao kutwa kuforecast upungufu wa dola huku wakiembarass mifumo maridhawa ya online transactions Weka mawasiliano tukufikie Click to expand... BOT hawaitaki hio
Gily Gru JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 9,212 Reaction score 25,407 Feb 22, 2024 #7 Hii huduma unaweza kufungua account ila shida baadhi ya nchi wanakosa uwezo wa kuchomoa hela kwenye account. Ikiwemo Tanzania.
Hii huduma unaweza kufungua account ila shida baadhi ya nchi wanakosa uwezo wa kuchomoa hela kwenye account. Ikiwemo Tanzania.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,472 Reaction score 193,451 Feb 22, 2024 #8 Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw
A Atwoki JF-Expert Member Joined Aug 22, 2015 Posts 754 Reaction score 440 Feb 22, 2024 #9 Mawasiiliano yako
EricMan JF-Expert Member Joined Oct 5, 2017 Posts 3,739 Reaction score 6,598 Feb 23, 2024 #10 Gily Gru said: Hii huduma unaweza kufungua account ila shida baadhi ya nchi wanakosa uwezo wa kuchomoa hela kwenye account. Ikiwemo Tanzania. Click to expand... ndio maan tukawa jiran na Kenya .. Hasa hasa sisi tuliopo karb na Namanga tunakula bata na paypal... hunyimwi vyote
Gily Gru said: Hii huduma unaweza kufungua account ila shida baadhi ya nchi wanakosa uwezo wa kuchomoa hela kwenye account. Ikiwemo Tanzania. Click to expand... ndio maan tukawa jiran na Kenya .. Hasa hasa sisi tuliopo karb na Namanga tunakula bata na paypal... hunyimwi vyote