Pawlenty quits as Romney campaign co-chair

Willard is like a turd that won't flush,just keeps on spinning
 
Mwanzo wa ngoma ni le le le.

Sehemu kubwa ya waamerika ni opportunists ambao huwa hawagandi na looser hata siku moja. Sitaki kusema kitu kitakachomchokonoa Nyani Ngabu huko aliko ila nadhani kitendo cha supporters wa Romney kujiondoa kwenye kundi lake pole pole siyo dalili nzuri sana kwa Mitt. Inawezekana Pawlenty kakurupuka na hivyo kuukosa u-secretary of commerce kwa vile Mitt anaweza kubadili mwelekeo wa uchaguzi wakati wowote, ila nadhani naye kama gavana wa term mbili anazijua sana politics za marekani; asingependa kuendelea kuside na looser.
 
Hehehe wameshaanza kufukuzana hata kabla ya debate...wameshasoma alama za nyakati kwamba huu uchaguzi 'Bama hana mpinzani sasa wanaanza kutafuta mchawi....Mtalaumu dobi bure kaniki ndiyo rangi yake.
 
Hehehe wameshaanza kufukuzana hata kabla ya debate...wameshasoma alama za nyakati kwamba huu uchaguzi 'Bama hana mpinzani sasa wanaanza kutafuta mchawi....Mtalaumu dobi bure kaniki ndiyo rangi yake.
hajafukuzwa, its just another strategy baada ya kuona romney anayumba washington.............
 
Pawlenty kashtuka Romnyehood inafanana sana na Sarahrouge!
 
Back
Top Bottom