GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Kama kawaida Habari kamili ya Taarifa hii Muhimu utaipata katika Gazeti zuri, bora na lenye Maadili na lisilo na Uwoga, Upendeleo Wala Unafiki la RAIA MWEMA katika Ukurasa wa Pili ( 2 )
Tafadhali Watu wa UHAMIAJI na TISS hebu Wasaidieni hawa Madalali katika Kumsaka na Kumkamata Paul Christian Makonda ( Daudi Albert Bashite ) kwani haonekani na hata Simu zake hazipatikani na Watu wake wa Karibu nao hawajui yuko wapi.
Kama mkimkosa huko kote jaribuni sana Kumsaka kwa Mganga wa Kienyeji yule Hatari wa Kigamboni ( anayetumiwa na Yanga SC kwa sasa ) au Yule Mganga wa Kienyeji ( mwenye Ziwa Moja anayetumiwa mno na Simba SC ) aishiye Pemba Zanzibar na mkimkosa Kote huko nendeni nyuma ya Milima ya Morogoro au Tanga ambako ndiko kuna Waganga Maarufu wanaotumiwa na 85% ya Viongozi na Wanasiasa wa Tanzania mtambahatisha na kama huko Kote mkimkosa mtafuteni tu katika Mochwari kwani yawezekana akawa ameshajjtanguliza kabla ya Kutangulizwa Kisheria kutokana na 'Charges' zake nyingi zinazomkabili na zisizovumilika.
ANGALIZO
Kwa wale 'Visokolokwinyo' ambao Taarifa hii itawakwaza au kuwakera mna Options Mbili tu 1. Kunibloku ( Ignore ) na 2. Mtafute popote pale Sumu ya Panya au Kunguni ili mkorogee katika Chai au Maji mnywe mkapumzike zenu tu mazima Kaburini.
Tafadhali Watu wa UHAMIAJI na TISS hebu Wasaidieni hawa Madalali katika Kumsaka na Kumkamata Paul Christian Makonda ( Daudi Albert Bashite ) kwani haonekani na hata Simu zake hazipatikani na Watu wake wa Karibu nao hawajui yuko wapi.
Kama mkimkosa huko kote jaribuni sana Kumsaka kwa Mganga wa Kienyeji yule Hatari wa Kigamboni ( anayetumiwa na Yanga SC kwa sasa ) au Yule Mganga wa Kienyeji ( mwenye Ziwa Moja anayetumiwa mno na Simba SC ) aishiye Pemba Zanzibar na mkimkosa Kote huko nendeni nyuma ya Milima ya Morogoro au Tanga ambako ndiko kuna Waganga Maarufu wanaotumiwa na 85% ya Viongozi na Wanasiasa wa Tanzania mtambahatisha na kama huko Kote mkimkosa mtafuteni tu katika Mochwari kwani yawezekana akawa ameshajjtanguliza kabla ya Kutangulizwa Kisheria kutokana na 'Charges' zake nyingi zinazomkabili na zisizovumilika.
ANGALIZO
Kwa wale 'Visokolokwinyo' ambao Taarifa hii itawakwaza au kuwakera mna Options Mbili tu 1. Kunibloku ( Ignore ) na 2. Mtafute popote pale Sumu ya Panya au Kunguni ili mkorogee katika Chai au Maji mnywe mkapumzike zenu tu mazima Kaburini.