Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Bila shaka ni kina kenyenyo wa kizazi OG 🀣
 
Yaani Mpumbavu apewe Ubalozi kutuwakilisha Watanzania Werevu akina GENTAMYCINE na Wenzake? Uko serious?
 
May mosi ni siku ya wafanyakazi, sasa hao wadudu (majobless) wanakwenda kuujaza uwanja ili iweje!? Au ndo wenyewe wanakwenda kupewa allowance ya ganja
 
Yaani Mpumbavu apewe Ubalozi kutuwakilisha Watanzania Werevu akina GENTAMYCINE na Wenzake? Uko serious?
Never underestimate the power of FOOLS when they're in the large number, because they can elect one of their own to rule.

Je, umeshawahi kujiuliza kwamba mtu huyu aliwezaje kuteuliwa kushika wadhifa alionao hivi Sasa licha ya umbumbumbu wake alionao?
 
Kwasababu aliaminiwa na bado anaendelea tu Kuaminiwa na Wapumbavu wenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…