Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Soma sheria aliyozungumzia Makonda utaelewa vizuri, kwenye maelezo yake amesema lazima kuwepo na "checks".
Sasa checks za Mhimili wa Mahakama ndiyo Makonda? Mbona unajitoa ufahamu kwa kumshabikia huyu Zerobrain!!
 
Soma sheria aliyozungumzia Makonda utaelewa vizuri, kwenye maelezo yake amesema lazima kuwepo na "checks".
Sasa checks za Mhimili wa Mahakama ndiyo Makonda? Mbona unajitoa ufahamu kwa kumshabikia huyu Zerobrain!!
 
Soma sheria aliyozungumzia Makonda utaelewa vizuri, kwenye maelezo yake amesema lazima kuwepo na "checks".
Sasa checks za Mhimili wa Mahakama ndiyo Makonda? Mbona unajitoa ufahamu kwa kumshabikia huyu Zerobrain!!
 
Soma sheria aliyozungumzia Makonda utaelewa vizuri, kwenye maelezo yake amesema lazima kuwepo na "checks".
Sasa checks za Mhimili wa Mahakama ndiyo Makonda? Mbona unajitoa ufahamu kwa kumshabikia huyu Zerobrain!!
 
The gentleman is very focused, determined, a hard worker, creative and for sure he is going to transform Arusha and make it great again 🐒

Eid Mubarak to you all, JF family 🌹
ameshahamia kwenye nyumba ya RC? ati focused maajab hayash dunan
 
aah !!!
sasa gubu na mishangao yako ya wengi pamoja na wewe, vinabaki maswala binafsi mioyoni mwenu tu, but kijana anafanya mambo bayana hadharini mchana kweupe, tena bila kificho 🐒
ameshahamia kwenye nyumba ya RC? ati focused maajab hayash dunan
 
Huyo mwananchi anayemfuata Makonda asiye na mamlaka yeyote iwe ardhi, ndoa, biashara anapoteza muda tu.

Nasikitika Watanzania bado wajinga sana
Hata wenye mamlaka wanaotakiwa kufanya hivo hawafanyi..cha muhimu wampata Bega la kuegema na kutoa la moyoni wakaskiizwa na nafsi ikafarijika hata km uteklezaji utachkua mhakato mrefu au isitekelezeke kabisa
 
Pengo alikumwagia baraka za kutosha, piga mzigo.
Sasa yule mnafiki Pengo anaweza kugawa baraka gani na Mungu azikubali?

Angeanza kwa kumungamisha Makonda dhidi ya dhambi hizi ndipo ambariki:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…