Paul makonda na kipindi cha uzalendo itv

Paul makonda na kipindi cha uzalendo itv

mchogora

Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
29
Reaction score
3
huyu jamaa anapropaganda,yeye ni katibu wa itikadi na uenezi wa uv-ccm sasa baada aeneze ya kueneza badala yake anasema chadema ni chama cha matukio na yakiisha na chama hakipo tena,anasema ziara walioanzisha watazungumzia op tokomeza,sasa kazi ya chama kinachokuwa upande wa upinzani nini? lazima wakosowe serikali au hajui kwamba ile serikali mbadala?
 
huyu jamaa anapropaganda,yeye ni katibu wa itikadi na uenezi wa uv-ccm sasa baada aeneze ya kueneza badala yake anasema chadema ni chama cha matukio na yakiisha na chama hakipo tena,anasema ziara walioanzisha watazungumzia op tokomeza,sasa kazi ya chama kinachokuwa upande wa upinzani nini? lazima wakosowe serikali au hajui kwamba ile serikali mbadala?

upinzani siyo kukosoa kila kitu bali ni pamoja na kuwa na mawazo mbadala ya yale ya serikali na kujadiliana namna ya kuunganisha hayo mawazo tatizo lako wewe unaishi kwa kuaminishwa jambo na wewe kukomaa nalo kama ulivyoaminishwa.
 
upinzani siyo kukosoa kila kitu bali ni pamoja na kuwa na mawazo mbadala ya yale ya serikali na kujadiliana namna ya kuunganisha hayo mawazo tatizo lako wewe unaishi kwa kuaminishwa jambo na wewe kukomaa nalo kama ulivyoaminishwa.

wenae ni kilaza mara ngapi wapinzani wanatoa hoja nzito zinakataliwa na magamba kwa kuitikia ndiyooooooooo we na mwigulu niwalewale wakwanza kwa wajinga wenzenu
 
Nimefuatilia ule mjadala wao, Kati ya muongozaji na wale wajumbe wawili mmoja wao alikuwa kama anaongea kwa jazba!
 
Back
Top Bottom