Paul Makonda Mmoja alifanya mkutano mkubwa na mzito mkoani Mbeya kuliko CHADEMA waliosombelea watu mikoa yote ya nyanda za juu kusini

Punguwani wewe punguza uzwazwa wako halafu unapoandika utoporo wako Anza na ndugu zangu magambaz utaeleweka zaidi
Acha hasira na mihemuko ambayo itakupofusha akili katika kufikiri kwa usahihi na kuikabili hoja kwa hoja na siyo matusi kwa hoja.
 
Acha hasira na mihemuko ambayo itakupofusha akili katika kufikiri kwa usahihi na kuikabili hoja kwa hoja na siyo matusi kwa hoja.
Ushakosa mwelekeo upo kama mwokota makopo Yapaswa TUKUOMBEE upone utoke kwenye hii dhambi ya kushabikia wauwaji na makabaira.shenzi sana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika hakuna chama cha upinzani kwa sasa wala kiongozi wala mtu yeyote yule kutoka upinzani ,anayeweza kufanya mkutano mkubwa ambao ukahudhuriwa na maelfu ya wananchi kama Mheshimiwa Paul Makonda Jabali na Nguli siasa na kijana jasiri kuwahi kutokea kusini mwa jangwa la sahara.

Mheshimiwa Paul Makonda alipotua na kukanyaga mkoa wa Mbeya na kufanya mkutanoni wa hadhara ndani ya ardhi ya mkoa wa Mbeya alipokelewa na umati wa maelfu ya watu waliofurika na kumiminika kama mchanga wa baharini. ilikuwa hakuna pa kukanyaga wala kusogeza mguu.ilikuwa ukitoa mguu wako basi utaishia kukanyaga juu ya mguu mwingine wa mtu ,maana hata sisiminzi asingeweza kupata nafasi ya kupenya kwa namna watu walivyokuwa wamefurika na kujaa utafikiri enzi zile za marehemu askofu dkt Moses kulola alivyokuwa anapokelewa huku kwetu.

Mikutano yote ya Mheshimiwa Makonda imekuwa hivyo hivyo ikipata mapokezi makubwa kwote anakopita na kufanya mikutano.watu wamekuwa wakijitokeza kwa wingi sana,.jambo ambalo limemtisha na kumtetemesha sana Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ambaye akiwa mkoani Mwanza alianza kulia lia kuwa mafuriko ya Mheshimiwa Makonda ni ya kutengenezwa kwa kuwalazimsha watu kuhudhuria, lakini cha ajabu ni kuwa yeye mbowe ameshindwa kuyatengeneza na kuwalazimsha watu..

Sasa jana ndipo ikaonyesha ukubwa,uzito na thamani ya Mheshimiwa Makonda katika mioyo ya watanzania hasa wanambeya ambako mkutano wa hadhara ulifanywa na CHADEMA.kwani licha ya CHADEMA kusombelea watu kutoka mikoa yote ya nyanda za juu kusini lakini bado hali ya mahudhurio yawatu haikufikia hata robo ya mafuriko ya watu waliompokea Mheshimiwa makonda.hii ndio sababu jina la Mheshimiwa Makonda lilitawala katika matembezi yao ya kupoteza muda waliyokuwa wanayafanya CHADEMA.

Nilishuhudia magari hasa macosta yakisombelea watu kutoka mikoa yote ya jirani na wilaya zake yakiwaleta watu Mbeya ili wafanye maandamano jana.lakini hawakuweza kujaa hata kwenye kiganja.ndio maana picha za mitandaoni waliziweka kijanja janja ili kuficha aibu.lakini kwa tulioshuhudia na kuona tulibaki tunawasikitikia tu CHADEMA kwa namna kilivyopoteza ushawishi na nguvu kwa watanzania.kwa sasa watu hawana habari na habari za CHADEMA.ndio maana watu walikuwa wapo Bize tu kuendelea na kazi na shughuli zao.

CHADEMA wakubali tu kuwa hawawezi kushindana na Mheshimiwa Makonda wala CCM, Maana Mheshimiwa Makonda mmoja tu anawatoa jasho na kuwashinda.vipi kikiingia chama kizima na idara zake zote? Mheshimiwa Makonda pekee yake akitia mguu mahali fulani anateka mkoa mzima na kuwa gumzo mitaa yote ,ambapo shuguli zote husimama ili kwenda kumsikiliza. lakini CHADEMA pamoja na makelele yao ya magari kutangaza kila siku lakini watu hawakuwa na habari nao na badala yake waliamua kuendelea na shughuli zao.

Hii ni kwa kuwa wananchi wanatambua kuwa palipo na Mheshimiwa Makonda na CCM yake ndipo mahali unapoweza kupata majibu ya kero yako, ndipo unapoweza kupata suluhu ya shida yako ,ndipo unapoweza kufutwa machozi yako,ndipo unapoweza kusaidiwa na kupewa msaaada wa hali na mali,ndipo unapoweza kusikilizwa bila kujali hali yako na kupewa majibu stahiki.

Sasa ukienda kwenye mkutano wa CHADEMA utaishia kusikia matusi na makelele yasiyo na tija wala majibu ya kero za watu wala msaada kwa mwenye shida. Watu kwa sasa wana imani kubwa na Mh Makonda na CCM yake kwa ujumla na ndio maana kwa sasa wana kiu kubwa sana ya kuona Mh Makonda anarejea jukwaani na kuendelea na ziara zake baada ya kuwa amesitisha kwa muda kwa ajili ya kushiriki mazishi ya hayati Edward lowassa.

Nawaonya CHADEMA kuwa acheni kushindana na Mh Makonda. kumshambulia ni sawa na shambulizi kwa watanzania wanyonge ambao wanamtizama Mh Makonda kama mtetezi wao ,sauti yao na kimbilio lao la Haraka juu ya kero na shida zao katika kupata msaada.kwa hiyo mkijaribu kutaka kushindana naye basi mjue kuwa mnashindana na kupambana na mamilioni ya watanzania wanyonge ambao wapo nyuma ya Mheshimiwa Makonda ,kumuombea dua njema na kumshukuru Mungu kwa kumpa maono Rais wetu kipenzi Rais Samia ili kuwaletea Mheshimiwa Makonda atakaye tembea nchi nzima kuwasikiliza kero zao na kuzifikisha kwake na serikali yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.View attachment 2910998View attachment 2911001View attachment 2911002View attachment 2911003View attachment 2911004
Mr. Lucas naomba nikusahihishe kidogo. Mimi wa zaman na chama nakujua na miiko yake..

Kiongozi wa kichama anaitwa "Ndugu"
Kiongozi wa kiserikali ni "mheshimiwa"
Wa kuchaguliwa na wananchi pia ni mheshimiwa.

Sasa Mwenezi wa chama ni NDUGU P.C.Makonda na sio Mh..

Wale wakuu wa idara wanatakiwaga wam-adress hivi.. Ndugu katibu Mwenezi......
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika hakuna chama cha upinzani kwa sasa wala kiongozi wala mtu yeyote yule kutoka upinzani ,anayeweza kufanya mkutano mkubwa ambao ukahudhuriwa na maelfu ya wananchi kama Mheshimiwa Paul Makonda Jabali na Nguli siasa na kijana jasiri kuwahi kutokea kusini mwa jangwa la sahara.

Mheshimiwa Paul Makonda alipotua na kukanyaga mkoa wa Mbeya na kufanya mkutanoni wa hadhara ndani ya ardhi ya mkoa wa Mbeya alipokelewa na umati wa maelfu ya watu waliofurika na kumiminika kama mchanga wa baharini. ilikuwa hakuna pa kukanyaga wala kusogeza mguu.ilikuwa ukitoa mguu wako basi utaishia kukanyaga juu ya mguu mwingine wa mtu ,maana hata sisiminzi asingeweza kupata nafasi ya kupenya kwa namna watu walivyokuwa wamefurika na kujaa utafikiri enzi zile za marehemu askofu dkt Moses kulola alivyokuwa anapokelewa huku kwetu.

Mikutano yote ya Mheshimiwa Makonda imekuwa hivyo hivyo ikipata mapokezi makubwa kwote anakopita na kufanya mikutano.watu wamekuwa wakijitokeza kwa wingi sana,.jambo ambalo limemtisha na kumtetemesha sana Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ambaye akiwa mkoani Mwanza alianza kulia lia kuwa mafuriko ya Mheshimiwa Makonda ni ya kutengenezwa kwa kuwalazimsha watu kuhudhuria, lakini cha ajabu ni kuwa yeye mbowe ameshindwa kuyatengeneza na kuwalazimsha watu..

Sasa jana ndipo ikaonyesha ukubwa,uzito na thamani ya Mheshimiwa Makonda katika mioyo ya watanzania hasa wanambeya ambako mkutano wa hadhara ulifanywa na CHADEMA.kwani licha ya CHADEMA kusombelea watu kutoka mikoa yote ya nyanda za juu kusini lakini bado hali ya mahudhurio yawatu haikufikia hata robo ya mafuriko ya watu waliompokea Mheshimiwa makonda.hii ndio sababu jina la Mheshimiwa Makonda lilitawala katika matembezi yao ya kupoteza muda waliyokuwa wanayafanya CHADEMA.

Nilishuhudia magari hasa macosta yakisombelea watu kutoka mikoa yote ya jirani na wilaya zake yakiwaleta watu Mbeya ili wafanye maandamano jana.lakini hawakuweza kujaa hata kwenye kiganja.ndio maana picha za mitandaoni waliziweka kijanja janja ili kuficha aibu.lakini kwa tulioshuhudia na kuona tulibaki tunawasikitikia tu CHADEMA kwa namna kilivyopoteza ushawishi na nguvu kwa watanzania.kwa sasa watu hawana habari na habari za CHADEMA.ndio maana watu walikuwa wapo Bize tu kuendelea na kazi na shughuli zao.

CHADEMA wakubali tu kuwa hawawezi kushindana na Mheshimiwa Makonda wala CCM, Maana Mheshimiwa Makonda mmoja tu anawatoa jasho na kuwashinda.vipi kikiingia chama kizima na idara zake zote? Mheshimiwa Makonda pekee yake akitia mguu mahali fulani anateka mkoa mzima na kuwa gumzo mitaa yote ,ambapo shuguli zote husimama ili kwenda kumsikiliza. lakini CHADEMA pamoja na makelele yao ya magari kutangaza kila siku lakini watu hawakuwa na habari nao na badala yake waliamua kuendelea na shughuli zao.

Hii ni kwa kuwa wananchi wanatambua kuwa palipo na Mheshimiwa Makonda na CCM yake ndipo mahali unapoweza kupata majibu ya kero yako, ndipo unapoweza kupata suluhu ya shida yako ,ndipo unapoweza kufutwa machozi yako,ndipo unapoweza kusaidiwa na kupewa msaaada wa hali na mali,ndipo unapoweza kusikilizwa bila kujali hali yako na kupewa majibu stahiki.

Sasa ukienda kwenye mkutano wa CHADEMA utaishia kusikia matusi na makelele yasiyo na tija wala majibu ya kero za watu wala msaada kwa mwenye shida. Watu kwa sasa wana imani kubwa na Mh Makonda na CCM yake kwa ujumla na ndio maana kwa sasa wana kiu kubwa sana ya kuona Mh Makonda anarejea jukwaani na kuendelea na ziara zake baada ya kuwa amesitisha kwa muda kwa ajili ya kushiriki mazishi ya hayati Edward lowassa.

Nawaonya CHADEMA kuwa acheni kushindana na Mh Makonda. kumshambulia ni sawa na shambulizi kwa watanzania wanyonge ambao wanamtizama Mh Makonda kama mtetezi wao ,sauti yao na kimbilio lao la Haraka juu ya kero na shida zao katika kupata msaada.kwa hiyo mkijaribu kutaka kushindana naye basi mjue kuwa mnashindana na kupambana na mamilioni ya watanzania wanyonge ambao wapo nyuma ya Mheshimiwa Makonda ,kumuombea dua njema na kumshukuru Mungu kwa kumpa maono Rais wetu kipenzi Rais Samia ili kuwaletea Mheshimiwa Makonda atakaye tembea nchi nzima kuwasikiliza kero zao na kuzifikisha kwake na serikali yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.View attachment 2910998View attachment 2911001View attachment 2911002View attachment 2911003View attachment 2911004
UNA TATIZO MAHALI..
HUWEZI KUELEZEA JAMBO BILA KUTAJA CHAMA KINGINE??
HUONI KWAMBA HICHO CHAMA UNACHOKITAJA KINA NGUVU SANA NDIO MAANA UNAKILINGANISHA....
Ungekua umekomaa kisiasa, ungeelezea mengi ya ccm kuliko kufananisha fananisha ccm na chadema...
 
Mr. Lucas naomba nikusahihishe kidogo. Mimi wa zaman na chama nakujua na miiko yake..

Kiongozi wa kichama anaitwa "Ndugu"
Kiongozi wa kiserikali ni "mheshimiwa"
Wa kuchaguliwa na wananchi pia ni mheshimiwa.

Sasa Mwenezi wa chama ni NDUGU P.C.Makonda na sio Mh..

Wale wakuu wa idara wanatakiwaga wam-adress hivi.. Ndugu katibu Mwenezi......
Hajui MASIKINI..
Yuko ki "maslahi maslahi...."
 
UNA TATIZO MAHALI..
HUWEZI KUELEZEA JAMBO BILA KUTAJA CHAMA KINGINE??
HUONI KWAMBA HICHO CHAMA UNACHOKITAJA KINA NGUVU SANA NDIO MAANA UNAKILINGANISHA....
Ungekua umekomaa kisiasa, ungeelezea mengi ya ccm kuliko kufananisha fananisha ccm na chadema...
Msukule mpya huo full midadi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika hakuna chama cha upinzani kwa sasa wala kiongozi wala mtu yeyote yule kutoka upinzani ,anayeweza kufanya mkutano mkubwa ambao ukahudhuriwa na maelfu ya wananchi kama Mheshimiwa Paul Makonda Jabali na Nguli siasa na kijana jasiri kuwahi kutokea kusini mwa jangwa la sahara.

Mheshimiwa Paul Makonda alipotua na kukanyaga mkoa wa Mbeya na kufanya mkutanoni wa hadhara ndani ya ardhi ya mkoa wa Mbeya alipokelewa na umati wa maelfu ya watu waliofurika na kumiminika kama mchanga wa baharini. ilikuwa hakuna pa kukanyaga wala kusogeza mguu.ilikuwa ukitoa mguu wako basi utaishia kukanyaga juu ya mguu mwingine wa mtu ,maana hata sisiminzi asingeweza kupata nafasi ya kupenya kwa namna watu walivyokuwa wamefurika na kujaa utafikiri enzi zile za marehemu askofu dkt Moses kulola alivyokuwa anapokelewa huku kwetu.

Mikutano yote ya Mheshimiwa Makonda imekuwa hivyo hivyo ikipata mapokezi makubwa kwote anakopita na kufanya mikutano.watu wamekuwa wakijitokeza kwa wingi sana,.jambo ambalo limemtisha na kumtetemesha sana Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ambaye akiwa mkoani Mwanza alianza kulia lia kuwa mafuriko ya Mheshimiwa Makonda ni ya kutengenezwa kwa kuwalazimsha watu kuhudhuria, lakini cha ajabu ni kuwa yeye mbowe ameshindwa kuyatengeneza na kuwalazimsha watu..

Sasa jana ndipo ikaonyesha ukubwa,uzito na thamani ya Mheshimiwa Makonda katika mioyo ya watanzania hasa wanambeya ambako mkutano wa hadhara ulifanywa na CHADEMA.kwani licha ya CHADEMA kusombelea watu kutoka mikoa yote ya nyanda za juu kusini lakini bado hali ya mahudhurio yawatu haikufikia hata robo ya mafuriko ya watu waliompokea Mheshimiwa makonda.hii ndio sababu jina la Mheshimiwa Makonda lilitawala katika matembezi yao ya kupoteza muda waliyokuwa wanayafanya CHADEMA.

Nilishuhudia magari hasa macosta yakisombelea watu kutoka mikoa yote ya jirani na wilaya zake yakiwaleta watu Mbeya ili wafanye maandamano jana.lakini hawakuweza kujaa hata kwenye kiganja.ndio maana picha za mitandaoni waliziweka kijanja janja ili kuficha aibu.lakini kwa tulioshuhudia na kuona tulibaki tunawasikitikia tu CHADEMA kwa namna kilivyopoteza ushawishi na nguvu kwa watanzania.kwa sasa watu hawana habari na habari za CHADEMA.ndio maana watu walikuwa wapo Bize tu kuendelea na kazi na shughuli zao.

CHADEMA wakubali tu kuwa hawawezi kushindana na Mheshimiwa Makonda wala CCM, Maana Mheshimiwa Makonda mmoja tu anawatoa jasho na kuwashinda.vipi kikiingia chama kizima na idara zake zote? Mheshimiwa Makonda pekee yake akitia mguu mahali fulani anateka mkoa mzima na kuwa gumzo mitaa yote ,ambapo shuguli zote husimama ili kwenda kumsikiliza. lakini CHADEMA pamoja na makelele yao ya magari kutangaza kila siku lakini watu hawakuwa na habari nao na badala yake waliamua kuendelea na shughuli zao.

Hii ni kwa kuwa wananchi wanatambua kuwa palipo na Mheshimiwa Makonda na CCM yake ndipo mahali unapoweza kupata majibu ya kero yako, ndipo unapoweza kupata suluhu ya shida yako ,ndipo unapoweza kufutwa machozi yako,ndipo unapoweza kusaidiwa na kupewa msaaada wa hali na mali,ndipo unapoweza kusikilizwa bila kujali hali yako na kupewa majibu stahiki.

Sasa ukienda kwenye mkutano wa CHADEMA utaishia kusikia matusi na makelele yasiyo na tija wala majibu ya kero za watu wala msaada kwa mwenye shida. Watu kwa sasa wana imani kubwa na Mh Makonda na CCM yake kwa ujumla na ndio maana kwa sasa wana kiu kubwa sana ya kuona Mh Makonda anarejea jukwaani na kuendelea na ziara zake baada ya kuwa amesitisha kwa muda kwa ajili ya kushiriki mazishi ya hayati Edward lowassa.

Nawaonya CHADEMA kuwa acheni kushindana na Mh Makonda. kumshambulia ni sawa na shambulizi kwa watanzania wanyonge ambao wanamtizama Mh Makonda kama mtetezi wao ,sauti yao na kimbilio lao la Haraka juu ya kero na shida zao katika kupata msaada.kwa hiyo mkijaribu kutaka kushindana naye basi mjue kuwa mnashindana na kupambana na mamilioni ya watanzania wanyonge ambao wapo nyuma ya Mheshimiwa Makonda ,kumuombea dua njema na kumshukuru Mungu kwa kumpa maono Rais wetu kipenzi Rais Samia ili kuwaletea Mheshimiwa Makonda atakaye tembea nchi nzima kuwasikiliza kero zao na kuzifikisha kwake na serikali yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.View attachment 2910998View attachment 2911001View attachment 2911002View attachment 2911003View attachment 2911004
Mikutano ambayo kwanza anakusanya watu kwa maroli na shule zinafumgwa eti Mwenezi anapita! Tutatoka lini kwenye huu upuuzi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania tungejikita kujadili nani awezae kutatua matatizo ya msingi tuliyonayo tangu miaka 60 ya uhuru
badala ya mambo ya kujaza watu wakati ufumbuzi hakuna
1. Tujadili kwa sasa hakuna ufumbuzi wa kudumu umeme nchini tegemeo ni maji kama chanzo kuna vyanzo vingine kama nyuklia havijadiliwi ingawa tuna uranium kibao, gesi kibao, nishati ya jua ukanda wa ikweta, halikadhalika upepo mkali kwa baadhi ya mikoa
2. Ukosefu wa bidhaa muhimu na upandaji holela wa bidhaa hizo huku tukiambiwa hazina faida kwa binadamu(sukari) mafuta ya kupikia, nishati ya mafuta dizel na petrol (bei)
3. Katiba itakayoendana na halisi ya maisha maana iliyopo ni ya mwaka 77 kuna mambo ya msingi yanahitaji mabadiliko km vile kero za Muungano kwa mfano kuna vitu wabara hawaridhiki navyo mfano masuala ya usawa wa matibabu na kwa wazanzibar halikadhalika kuna vitu vinawakera mgawanyo wa mapato, misaada, masuala ya kidini masuala ya uchaguzi.
4. Kuna masuala yanaumiza wastaafu kutokana na kikotoo kuna watu wanapewa upendeleo hakiwagusi bali wengine sijui ni walala hoi waop wanapangiwa namna ya kutmia pesa zao.
5. Mitaala ya elimu na ajira nk nk wengine watajazia hapa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika hakuna chama cha upinzani kwa sasa wala kiongozi wala mtu yeyote yule kutoka upinzani ,anayeweza kufanya mkutano mkubwa ambao ukahudhuriwa na maelfu ya wananchi kama Mheshimiwa Paul Makonda Jabali na Nguli siasa na kijana jasiri kuwahi kutokea kusini mwa jangwa la sahara.

Mheshimiwa Paul Makonda alipotua na kukanyaga mkoa wa Mbeya na kufanya mkutanoni wa hadhara ndani ya ardhi ya mkoa wa Mbeya alipokelewa na umati wa maelfu ya watu waliofurika na kumiminika kama mchanga wa baharini. ilikuwa hakuna pa kukanyaga wala kusogeza mguu.ilikuwa ukitoa mguu wako basi utaishia kukanyaga juu ya mguu mwingine wa mtu ,maana hata sisiminzi asingeweza kupata nafasi ya kupenya kwa namna watu walivyokuwa wamefurika na kujaa utafikiri enzi zile za marehemu askofu dkt Moses kulola alivyokuwa anapokelewa huku kwetu.

Mikutano yote ya Mheshimiwa Makonda imekuwa hivyo hivyo ikipata mapokezi makubwa kwote anakopita na kufanya mikutano.watu wamekuwa wakijitokeza kwa wingi sana,.jambo ambalo limemtisha na kumtetemesha sana Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ambaye akiwa mkoani Mwanza alianza kulia lia kuwa mafuriko ya Mheshimiwa Makonda ni ya kutengenezwa kwa kuwalazimsha watu kuhudhuria, lakini cha ajabu ni kuwa yeye mbowe ameshindwa kuyatengeneza na kuwalazimsha watu..

Sasa jana ndipo ikaonyesha ukubwa,uzito na thamani ya Mheshimiwa Makonda katika mioyo ya watanzania hasa wanambeya ambako mkutano wa hadhara ulifanywa na CHADEMA.kwani licha ya CHADEMA kusombelea watu kutoka mikoa yote ya nyanda za juu kusini lakini bado hali ya mahudhurio yawatu haikufikia hata robo ya mafuriko ya watu waliompokea Mheshimiwa makonda.hii ndio sababu jina la Mheshimiwa Makonda lilitawala katika matembezi yao ya kupoteza muda waliyokuwa wanayafanya CHADEMA.

Nilishuhudia magari hasa macosta yakisombelea watu kutoka mikoa yote ya jirani na wilaya zake yakiwaleta watu Mbeya ili wafanye maandamano jana.lakini hawakuweza kujaa hata kwenye kiganja.ndio maana picha za mitandaoni waliziweka kijanja janja ili kuficha aibu.lakini kwa tulioshuhudia na kuona tulibaki tunawasikitikia tu CHADEMA kwa namna kilivyopoteza ushawishi na nguvu kwa watanzania.kwa sasa watu hawana habari na habari za CHADEMA.ndio maana watu walikuwa wapo Bize tu kuendelea na kazi na shughuli zao.

CHADEMA wakubali tu kuwa hawawezi kushindana na Mheshimiwa Makonda wala CCM, Maana Mheshimiwa Makonda mmoja tu anawatoa jasho na kuwashinda.vipi kikiingia chama kizima na idara zake zote? Mheshimiwa Makonda pekee yake akitia mguu mahali fulani anateka mkoa mzima na kuwa gumzo mitaa yote ,ambapo shuguli zote husimama ili kwenda kumsikiliza. lakini CHADEMA pamoja na makelele yao ya magari kutangaza kila siku lakini watu hawakuwa na habari nao na badala yake waliamua kuendelea na shughuli zao.

Hii ni kwa kuwa wananchi wanatambua kuwa palipo na Mheshimiwa Makonda na CCM yake ndipo mahali unapoweza kupata majibu ya kero yako, ndipo unapoweza kupata suluhu ya shida yako ,ndipo unapoweza kufutwa machozi yako,ndipo unapoweza kusaidiwa na kupewa msaaada wa hali na mali,ndipo unapoweza kusikilizwa bila kujali hali yako na kupewa majibu stahiki.

Sasa ukienda kwenye mkutano wa CHADEMA utaishia kusikia matusi na makelele yasiyo na tija wala majibu ya kero za watu wala msaada kwa mwenye shida. Watu kwa sasa wana imani kubwa na Mh Makonda na CCM yake kwa ujumla na ndio maana kwa sasa wana kiu kubwa sana ya kuona Mh Makonda anarejea jukwaani na kuendelea na ziara zake baada ya kuwa amesitisha kwa muda kwa ajili ya kushiriki mazishi ya hayati Edward lowassa.

Nawaonya CHADEMA kuwa acheni kushindana na Mh Makonda. kumshambulia ni sawa na shambulizi kwa watanzania wanyonge ambao wanamtizama Mh Makonda kama mtetezi wao ,sauti yao na kimbilio lao la Haraka juu ya kero na shida zao katika kupata msaada.kwa hiyo mkijaribu kutaka kushindana naye basi mjue kuwa mnashindana na kupambana na mamilioni ya watanzania wanyonge ambao wapo nyuma ya Mheshimiwa Makonda ,kumuombea dua njema na kumshukuru Mungu kwa kumpa maono Rais wetu kipenzi Rais Samia ili kuwaletea Mheshimiwa Makonda atakaye tembea nchi nzima kuwasikiliza kero zao na kuzifikisha kwake na serikali yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.View attachment 2910998View attachment 2911001View attachment 2911002View attachment 2911003View attachment 2911004
Lucas uwage na mkweli basii🤓
 
Umeme tatizo sukari tatizo halafu MTU anapiga poroja za kutafuta kura wakati jamii ina suffer kutokana na ukosefu wa social service ni ujinga
 
Tunataka action na sio maneno, hapo ndo tutajua mpo vizuri huwezi mshawishi MTU wakati anakosa baadhi ya huduma ccm hii ni karne ya watu waliofunguka kiakili. Hata mtoto tu sahizi huwezi mdanganya kwa maneno zaidi atakuita mwongo
 
Tunataka action na sio maneno, hapo ndo tutajua mpo vizuri huwezi mshawishi MTU wakati anakosa baadhi ya huduma ccm hii ni karne ya watu waliofunguka kiakili. Hata mtoto tu sahizi huwezi mdanganya kwa maneno zaidi atakuita mwongo
Ndio maana watu wanafurika kwenye mikutano ya Mheshimiwa Makonda kwa kuwa wanaona tumaini mbele yao.
 
Back
Top Bottom