Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,902
umeongea upuuzi sana. hyenda wewe sio mpuuzi ila ulichokiongea ni cha kipuuz
Najua wengi watatukana kama wewe uliyofanya ila nikuambie tu kuwa mimi nimeisha tukanwa na kubaguliwa zaidi ya hivyo uliyofanya hapo juu.
Japo, kumbuka huu usemi wangu " bora uambiwe ukweli hata kama ni mchungu"
Si vijana wa leo wanasema, hii ni ngumu kumesa aisee"
Utaelewa tu kadili muda unavyoenda maana kuna wengine hawaelewi tit for tat hadi miezi na miaka ipite ndiyo wanaelewa.
Kwa hiyo hata nawe siwezi kukushang'aa kwa ulichofanya na utakachoendelea kufanya baada ya hii comment yangu kwako.
Ila huo ndiyo ukweli. Japo kwa wengi inaonekana kuwa mchungu sana.