pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Hawa mashehe wanamsomea mtu dua akiwa na viatu. Hapo anaomba hili sakata liishe.
Hawa mashehe wanamsomea mtu dua akiwa na viatu. Hapo anaomba hili sakata liishe.
Da, perry alikua meanafunz cjui wa UD, akikua na dharau sana kwa wanafunzi wanaosoma vyuo vingine, natamani nijue yupo wap sa hv....Leo hii ni habari ya maana sana.
2011 ilikua sio habari leo 2017 imekua habari na kitu kinachotupa majibu zaidi katika swala hili lililopo mezani.Sa hii nayo ni habari kweli?
Au ndio maana hajibu hizi tuhuma,sababu anajua alichokuwa anakifanya??Huyu dogo ni mtu wa kitengo sasa sishangai kuona anamajina mengi na yote yaweza kuwa ya kwake mradi tu lengo litimie. Suala la kufoji cheti hilo halipo ila anaweza kutumia majina tofauti tofauti kutokana na kazi yake.
ndio huyo wanayesema anaitwa Daudi BAshite Albert? jamani...hahahahaha. Mungu amsaidie, ila aache kiburi. ajishushaye atakwezwa, ajikwezaye ataashushwa. badala ya kukimbilia kwa Mungu wa kweli, mhubiri mkubwa amekimbilia kwa wauza majini na waganga wa kienyeji. Mungu atamfuta muda si mrefu. ametumainia mashetani na kumwacha Mungu.Kada wa Chama cha Mapinduzi, ndugu Paul Makonda ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu katika Chuo cha Ushirika na Rais wa Chuo ndugu Godfrey Washoto lakini katika hali isiyojulikana Bunge limekataa kumuidhinisha kuwa Waziri Mkuu kutokana na kwamba ndugu Paul Makonda amekuwa haeleweki na wabunge hawana imani naye kutokana na kuhairisha miaka kila mara na miaka yote hamalizi chuo.
Bunge la chuo limehairishwa bila kupata muafaka
Mungu wa kweli ni yupi?ndio huyo wanayesema anaitwa Daudi BAshite Albert? jamani...hahahahaha. Mungu amsaidie, ila aache kiburi. ajishushaye atakwezwa, ajikwezaye ataashushwa. badala ya kukimbilia kwa Mungu wa kweli, mhubiri mkubwa amekimbilia kwa wauza majini na waganga wa kienyeji. Mungu atamfuta muda si mrefu. ametumainia mashetani na kumwacha Mungu.
Daudi Bashite sio kwamba hamjui Mungu. ni mtu aliyekulia maisha ya kilokole muda mrefu wa maisha yake. pengine kwasababu alikuwa anafeli maisha yake yote tangu darasa la nne ndio maana aliamua kumtafuta sana Mungu. ameishi maisha kuw amhubiri wa injili mikutanoni kwa walokole huko. ukisikiliza alichokisema mamake utaelewa. lakini leo anategemea kuwekewa mikono na waganga wa kienyeji na wasoma nyota na wafuga majini. Baada ya Mungu kumwinua, amemtupa Mungu kule, kiburi kimemjaa, pesa anazopata anawapangishia watu majumba makongo, anawatongoza kina wema...shida tupu anakula bata.Mungu wa kweli ni yupi?
Makonda anaenda kanisani kila jumapili kusali, ina maana huko ndio anakutana na majini?Daudi Bashite sio kwamba hamjui Mungu. ni mtu aliyekulia maisha ya kilokole muda mrefu wa maisha yake. pengine kwasababu alikuwa anafeli maisha yake yote tangu darasa la nne ndio maana aliamua kumtafuta sana Mungu. ameishi maisha kuw amhubiri wa injili mikutanoni kwa walokole huko. ukisikiliza alichokisema mamake utaelewa. lakini leo anategemea kuwekewa mikono na waganga wa kienyeji na wasoma nyota na wafuga majini. Baada ya Mungu kumwinua, amemtupa Mungu kule, kiburi kimemjaa, pesa anazopata anawapangishia watu majumba makongo, anawatongoza kina wema...shida tupu anakula bata.
Hawezi kujibu maana kujibu kakwe ajiweke bayana yeye ni nani sasa mtu wa kitengo aonekane ni CCM kindakindaki unafikili itakuajeAu ndio maana hajibu hizi tuhuma,sababu anajua alichokuwa anakifanya??
Maana haiwezekani kilaza hivo,kufika had ngazi ya ukuu wa mkoa,lazma kuna sababu nyuma yake
Asante Jei efu a place wea we dea to spiki openile.....Kada wa Chama cha Mapinduzi, ndugu Paul Makonda ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu katika Chuo cha Ushirika na Rais wa Chuo ndugu Godfrey Washoto lakini katika hali isiyojulikana Bunge limekataa kumuidhinisha kuwa Waziri Mkuu kutokana na kwamba ndugu Paul Makonda amekuwa haeleweki na wabunge hawana imani naye kutokana na kuhairisha miaka kila mara na miaka yote hamalizi chuo.
Bunge la chuo limehairishwa bila kupata muafaka
Utamuua Bashite bure mana classmate wake wa olevel ana mjua kwa jina la Daudi Albert.Ukitaka kumshika,mwambie akupe Transcript