Pompoo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 362
- 41
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Mh. Paul Makonda amepokea meseji tatu za vitisho kutoka namba zisozosajiliwa. Akizungumza na Millard Ayo alisema meseji hizo ni pamoja na
1.Kutishiwa Kutokana na kutetea maslahi ya wasanii.
2.kutishiwa maisha Kutokana Na kusimamia sheria na katiba.. (STK)
3.Kutokana na position yake hawezi kuitaja sms ya tatu alitishiwa juu ya jambo gani
Chanzo Millard Ayo.
1.Kutishiwa Kutokana na kutetea maslahi ya wasanii.
2.kutishiwa maisha Kutokana Na kusimamia sheria na katiba.. (STK)
3.Kutokana na position yake hawezi kuitaja sms ya tatu alitishiwa juu ya jambo gani
Chanzo Millard Ayo.