Paul Makonda anafaa kuigwa !

Paul Makonda anafaa kuigwa !

kensh

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2012
Posts
527
Reaction score
113
Alipoteuliwa kuiongoza kinondoni wengi tulishtuka,tukajua atachemka muda si mrefu.

Wengi walihoji kiwango chake cha maadili hasa walipohusisha na sakata la Mzee Warioba.

Lakini bila shaka wote tumeona jinsi kijana mwenzetu alivyombunifu na kujitahidi kushughulikia mambo kwa njia za kiungwana.Ameitisha mkutano kusuruhisha migogoro ya ardhi,amekemea na kuwasaka wezi wa maji,ameanzisha mchakato wa kuvitambua na kuvikuza vipaji vya vijana kule Kinondoni.

Najua bado hajafanya mengi ya kutosha,ila huu mwanzo wake unaweza kutusaidia kuujua mwisho wake.Tumtie moyo na kumshauri njia bora zaidi za kuzidi kuondoa kero za wananchi,kwani hilo hasa ndilo tunalihitaji kwa kiongozi anayeonesha nia ya kulisimamia.

Kukaa kimya na kusubiri ashindwe ili tujekumdhihaki na kumbeza,si uungwana.Tumkosoe na kumuunga mkono inapofaa
 

Attachments

  • 2.JPG
    2.JPG
    55.5 KB · Views: 388
  • IMG_5386.JPG
    IMG_5386.JPG
    72.9 KB · Views: 408
how sir ?

Ninani anatakiwa akusifu wewe mwenyewe ujisifu hapa jf au wananchi uliowahudumia hata hivyo umefanya nini maneno si vitendo ni kawaida kwa Chama chenu kuongea bila utetekelezaji
Umepewa ukuu wa wilaya kwa kazi nzuri ya kumtukana Edward lowasa na kumpiga mzee Warioba,walio kupa ukuu wa wilaya wanaamini unauwezo wa kuwaujumu wapinzani uchaguzi mkuu mwaka huu lkn nikupe pole kwani najua kwa rais atakaye kuja hatakaa na kiongozi kama wewe
 
Huyu jamaa alimpiga mzee wa watu bure.


swissme
 
Ninani anatakiwa akusifu wewe mwenyewe ujisifu hapa jf au wananchi uliowahudumia hata hivyo umefanya nini maneno si vitendo ni kawaida kwa Chama chenu kuongea bila utetekelezaji
Umepewa ukuu wa wilaya kwa kazi nzuri ya kumtukana Edward lowasa na kumpiga mzee Warioba,walio kupa ukuu wa wilaya wanaamini unauwezo wa kuwaujumu wapinzani uchaguzi mkuu mwaka huu lkn nikupe pole kwani najua kwa rais atakaye kuja hatakaa na kiongozi kama wewe

Mkuu, tuhuma umeshusha nyingi ila hazithibitiki
 
Alipoteuliwa kuiongoza kinondoni wengi tulishtuka,tukajua atachemka muda si mrefu.

Wengi walihoji kiwango chake cha maadili hasa walipohusisha na sakata la Mzee Warioba.

Lakini bila shaka wote tumeona jinsi kijana mwenzetu alivyombunifu na kujitahidi kushughulikia mambo kwa njia za kiungwana.Ameitisha mkutano kusuruhisha migogoro ya ardhi,amekemea na kuwasaka wezi wa maji,ameanzisha mchakato wa kuvitambua na kuvikuza vipaji vya vijana kule Kinondoni.

Najua bado hajafanya mengi ya kutosha,ila huu mwanzo wake unaweza kutusaidia kuujua mwisho wake.Tumtie moyo na kumshauri njia bora zaidi za kuzidi kuondoa kero za wananchi,kwani hilo hasa ndilo tunalihitaji kwa kiongozi anayeonesha nia ya kulisimamia.

Kukaa kimya na kusubiri ashindwe ili tujekumdhihaki na kumbeza,si uungwana.Tumkosoe na kumuunga mkono inapofaa
Upuuzi makonda unajisifia mwenyewe hamna cha maana ulichofanya zaid ya kumpiga warioba
 
Unafanya kazi ya kuosha nguruwe! Nguruwe mwenyewe anajigalagaza na kucheza kwenye maji machafu! yaani umeona katika watu wa kuosha - hata makonda anaosheka?????????? Kaaaaazi kwelikweli!
 
Unafanya kazi ya kuosha nguruwe! Nguruwe mwenyewe anajigalagaza na kucheza kwenye maji machafu! yaani umeona katika watu wa kuosha - hata makonda anaosheka?????????? Kaaaaazi kwelikweli!

nani nguruwe sasa?

 
Laana ya kumtwanga Mzee warioba itamuandama hadi kaburini ...
Alipoteuliwa kuiongoza kinondoni wengi tulishtuka,tukajua atachemka muda si mrefu.

Wengi walihoji kiwango chake cha maadili hasa walipohusisha na sakata la Mzee Warioba.

Lakini bila shaka wote tumeona jinsi kijana mwenzetu alivyombunifu na kujitahidi kushughulikia mambo kwa njia za kiungwana.Ameitisha mkutano kusuruhisha migogoro ya ardhi,amekemea na kuwasaka wezi wa maji,ameanzisha mchakato wa kuvitambua na kuvikuza vipaji vya vijana kule Kinondoni.

Najua bado hajafanya mengi ya kutosha,ila huu mwanzo wake unaweza kutusaidia kuujua mwisho wake.Tumtie moyo na kumshauri njia bora zaidi za kuzidi kuondoa kero za wananchi,kwani hilo hasa ndilo tunalihitaji kwa kiongozi anayeonesha nia ya kulisimamia.

Kukaa kimya na kusubiri ashindwe ili tujekumdhihaki na kumbeza,si uungwana.Tumkosoe na kumuunga mkono inapofaa
 
umenikumbusha ile tamthilia tamu ya mwaka wa kwanza wa JK pale waandishi walipochambua siku mia za JK madarakani..aisee ilikuwa tamthilia tamu ya kusadikika..naamini magazeti na wachambuzi walioandika sasa ivi wanajuta kwa unafiki wao..NAWE TIME WILL TELL
 
Hivi ukijikenya mwenyewe alafu ukacheka mwenyewe unapata faida gani labda kwa mfano?
 
Wewe mleta uzi huu umekunywa viroba nn unamsifia makonda wakati bado hajafanya lolote wakati safari yake ndy kwanza inaanza
Ni wezi gani amewasaka,hivyo vipaji
Kuvivumbua anataka kufanya kama bongo star search Au analeta mambo ya clouds,
Kinondoni mambo mengi ya kutilia mkazo
Mradi tena mkajipange
 
neno umaskini ni pana sana! kichwa cha mada hii ni sehemu ya neno.
 
Mwboeni kuwa komba hakuiona katiba pendekezwa pamoja na ujana wake!
-naye oct:tutafika tu,hakika ana laana ya kifo!
 
nani nguruwe sasa?

Na wewe unataka nikujibu vipi sasa?? yaani unaibuka tu na kuuliza bila kufikiri???? Fikiria mwenyewe nguruwe atakuwa nani! Kama ni mimi ama ni wewe ama ni makonda: yote ni majibu sahihi!
 
Back
Top Bottom