kensh
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 527
- 113
Alipoteuliwa kuiongoza kinondoni wengi tulishtuka,tukajua atachemka muda si mrefu.
Wengi walihoji kiwango chake cha maadili hasa walipohusisha na sakata la Mzee Warioba.
Lakini bila shaka wote tumeona jinsi kijana mwenzetu alivyombunifu na kujitahidi kushughulikia mambo kwa njia za kiungwana.Ameitisha mkutano kusuruhisha migogoro ya ardhi,amekemea na kuwasaka wezi wa maji,ameanzisha mchakato wa kuvitambua na kuvikuza vipaji vya vijana kule Kinondoni.
Najua bado hajafanya mengi ya kutosha,ila huu mwanzo wake unaweza kutusaidia kuujua mwisho wake.Tumtie moyo na kumshauri njia bora zaidi za kuzidi kuondoa kero za wananchi,kwani hilo hasa ndilo tunalihitaji kwa kiongozi anayeonesha nia ya kulisimamia.
Kukaa kimya na kusubiri ashindwe ili tujekumdhihaki na kumbeza,si uungwana.Tumkosoe na kumuunga mkono inapofaa
Wengi walihoji kiwango chake cha maadili hasa walipohusisha na sakata la Mzee Warioba.
Lakini bila shaka wote tumeona jinsi kijana mwenzetu alivyombunifu na kujitahidi kushughulikia mambo kwa njia za kiungwana.Ameitisha mkutano kusuruhisha migogoro ya ardhi,amekemea na kuwasaka wezi wa maji,ameanzisha mchakato wa kuvitambua na kuvikuza vipaji vya vijana kule Kinondoni.
Najua bado hajafanya mengi ya kutosha,ila huu mwanzo wake unaweza kutusaidia kuujua mwisho wake.Tumtie moyo na kumshauri njia bora zaidi za kuzidi kuondoa kero za wananchi,kwani hilo hasa ndilo tunalihitaji kwa kiongozi anayeonesha nia ya kulisimamia.
Kukaa kimya na kusubiri ashindwe ili tujekumdhihaki na kumbeza,si uungwana.Tumkosoe na kumuunga mkono inapofaa