Paul Makonda: Alama ya uongozi uliotufikisha hapa

Mkuu ni hivi wala usipate tabu, unaweza kufungulia hayo matusi hata sasa, haijalishi ulijiunga lini kwani sisi pia tuko muda mrefu hapa jukwaani kwani id zetu nyingine zilipigwa ban za maisha kwa hayo hayo matusi. Matusi mimi nanayo kama 1 terabyte hivi lakini hapa sintoweza kuyatumia hapa kwani sio eneo lake, labda ukipenda uone demo nipm tukutane mahali ndio utajua wewe ni cha mtoto. Kama umeamua kumsifia jamaa usidhani kila mtu yuko kihivyo.

ha ha...mbavu zangu! kumbe umeona matusi hayana dili humu

Wanaomchukia makonda tushawajua tabia zao

siku pm ng'o
 
Anasema hawezi kukubali kuna vijana walimpulizia Moshi wa sigara akiwa sehemu na baba mkwe wake na watoto.
1467868777239.jpg
 
Tangu nilisikia amempiga mzaa wa katiba pendwa sijawahi kuwa na imani naye huyu RC
 
Tanzania hatuna uongozi kwenye wenye maono. Mfano ni Makonda, RC wa Dar.

Viongozi hawatekelezi program zao kabla ya kurukia zingine.

1. Hivi Makonda amemaliza swala la ombaomba Dar? Bado, wapo tele.

2. Makonda amemaliza swala la biashara ya ukahaba Dar? Bado, wapo tele..

3. Makonda amerukia Shisha kabla hajamaliza kusimamia maagizo yake ya nyuma!

Kwa viongozi aina ya Makonda, tusahau kuhusu maendeleo endelevu.

Kukurupuka ndo mpango mzima.

Anachokifanya aliempa hiyo kazi ndo anachokifanya yeye. Kwani ile Ishu ya sukari imeishia wapi?
 
Lakini kuna hotuba alitoa makomda akasema wanaomwandika kwenye mitandao ya kijamii hawajui kuwa " yeye ni mkubwa kuliko wao" Sasa sijui ni ukubwa wa umbo, cheo, umri, Elimu au nini! Kuweni makini mnamjadili bana kubwa!
 
Tume ya kukusanya maoni ya mabadiliko ya katiba ilikuwa na watu wengi mashuhuri,piga mmojawapo hasa mzee Warioba na Butiku
 
Tume ya kukusanya maoni ya mabadiliko ya katiba ilikuwa na watu wengi mashuhuri,piga mmojawapo hasa mzee Warioba na Butiku
Dr Bana amekosoa uteuzi wa nafasi za DAS sasa kama kijana wa CCM anataka cheo akamate Dr Bana atembeze mitama ya kutosha hadharani atapewa ukuu wa wilaya Babati.
 
Kama anaweza akagombee ubunge akishindwa atafikiriwa kwa nafasi za DAS,RAS.DC,RC na DED
 
Makonda anapenda sana TV kumuonyesha. Anatamani angefungwa kifaa cha kumfanya awe live 24/7 kama Bigbrother
 
Tanzania hatuna uongozi kwenye wenye maono. Mfano ni Makonda, RC wa Dar.

Viongozi hawatekelezi program zao kabla ya kurukia zingine.

1. Hivi Makonda amemaliza swala la ombaomba Dar? Bado, wapo tele.

2. Makonda amemaliza la biashara ya ukahaba Dar? Bado, wapo tele..

3. Makonda amerukia Shisha kabla hajamaliza kusimamia maagizo yake ya nyuma!

Kwa viongozi aina ya Makonda, tusahau kuhusu maendeleo endelevu.

4.AMEMZALISHA MKEWE?...BADO!
5.AMEKABIDHI VYETI VYAKE?...BADO!
6.AMEACHA KUVAMIA WATU/MALI ZA WATU?........BABO!
7.AMEFANIKISHA ILE KAZI YA MAKAO MAKUU?....BADO!
HATA ANGEPEWA MIAKA SAWA NA UMRI WAKE HAWEZI KUFANIKISHA HATA NUSU YA MALENGO!
 
Back
Top Bottom