Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,787
Mkuu ni hivi wala usipate tabu, unaweza kufungulia hayo matusi hata sasa, haijalishi ulijiunga lini kwani sisi pia tuko muda mrefu hapa jukwaani kwani id zetu nyingine zilipigwa ban za maisha kwa hayo hayo matusi. Matusi mimi nanayo kama 1 terabyte hivi lakini hapa sintoweza kuyatumia hapa kwani sio eneo lake, labda ukipenda uone demo nipm tukutane mahali ndio utajua wewe ni cha mtoto. Kama umeamua kumsifia jamaa usidhani kila mtu yuko kihivyo.
ha ha...mbavu zangu! kumbe umeona matusi hayana dili humu
Wanaomchukia makonda tushawajua tabia zao
siku pm ng'o