GE2025 Paul Kimiti: Wanasiasa msitumie mitandao ya kijamii vibaya na kuvunja amani ya nchi

GE2025 Paul Kimiti: Wanasiasa msitumie mitandao ya kijamii vibaya na kuvunja amani ya nchi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,230
MWENYEKITI wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere, Paul Kimiti, amewataka baadhi ya viongozi na wanasiasa kuwa waangalifu katika matumizi ya mitandao ya kijamii, ili kulinda amani na mshikamano wa Taifa.

Akizungumza katika mahojiano maalumu na Daily News Digital jijini Dar es Salaam, Kimiti amesema misingi ya uongozi iliyoachwa na Mwalimu Nyerere, inasisitiza matumizi ya busara na hekima katika kushughulikia changamoto za kitaifa, badala ya kutumia majukwaa ya mitandao kujibizana au kulaumiana.

 
Mshenzi mkubwa huyo mbona hakemei utekaji na mauaji?

Au hayo yanafanyika Tanzania ya nyingine?
 
Unafikiri kwa hii hatua tulipofikia kuna mtu mwenye akili timamu anaweweza kumsikiliza Kimtu, sijui Kimti! Hizo zote ni takataka tu za kupuuzwa.
 
Back
Top Bottom