mtakahela
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 801
- 1,258
Hahhaaha jamani JF raha kama zoteMtakuja kua inspired mpk na majini.
Mwingine unamsikia nakua inspired na Polepole.
Hivi umewaza nini mkuu?
Hahhaaha jamani JF raha kama zoteMtakuja kua inspired mpk na majini.
Mwingine unamsikia nakua inspired na Polepole.
All media whores are just whores!Hawa watu watatu wamewahi kuni inspire sanaa kwenye mapambano ya kutafuta chapaa, recently sijawasikia kabisa
Wameenda wapi?
Janjajanja fc...Huyo Ngowi alipigwa pini kitambo aliwafanyia janja janja wazungu
Mwambien Ontario akae chonjo janjajanja inamwisho
Polepole kuna siku nilimwona airport terminal 2 pale yuko na walinzi wake..ndo nikagundua jamaa ana kichwa kikubwa sana nilitaman kucheka raia wakawa wanamshangaa tuMtakuja kua inspired mpk na majini.
Mwingine unamsikia nakua inspired na Polepole.
Kumbe kaya ni ya kwake? basi jamaa ni fighter unajua ukiwa fighter u do not quit ikigoma hapa unahamia hapa mpaka ufanikiwePatrick Ngowi
Alipata umaarufu kwa biashara ya sola. Sijajua anaendeleaje kwa sasa.
Isaya Yunge
Alipata umaarufu kupitia Soma App na Soma Fit; Alipewa mpaka tuzo na Malkia Elizabeth - lakini mwishowe akaflop. Kwa maelezo yake ni kuwa kuna watu walimkwamisha. - saivi amekuja na 'Kaya'. Let's hope for the best while expecting the worst.
Benji Fernandes
Alipata umaarufu kupitia Nala App; akashinda tuzo pia kupitia app yake hiyo. Lakini kwa mujibu wa vijana kutoka' Silicon Dar' ni kuwa app yake ime-stuck kwasababu selling point yake ni offline functionality. Sasa offline functionality inawezekana kwa android tu, kwenye iOs haiwezekani - kwahiyo amekwama kui-scale up.
BOTTOM LINE
Mazingira ya tech start up hapa Bongo sio rafiki sana, unahitaji resilience, passion na connections za kutosha ili uweze kutoboa.
Ontario ze great,mambo ya foreksi.Patrick Ngowi ndio kapotea kimoja.Alitapeli wazungu kwenye maboashara yake Mkuu .Sijui kapotelea wapi kwa sasa l.
Benja ni wakishua Home kwao wanakeshi Naona wazazi wake wana asili ya kihindi pia anaconnection hadi majuu huko
Kupotea kwenye gemu vigumu
Mcheki instargram
Isaya Yunge kapata support kubwa sana kutoka kwa wazungu (wajapani wachina (ngonzi nyeupe ) akapata chance ya kusoma na scholarship mpaka akaenda Majuu Ila kwa sasa hasomeki vizuri wala mishe anazofanya utaona mapicha mapicha mapicha tu Mkuu .Hata hizo App anafanya parternship na wazungu .na mambo mengine Mkuu
ONTARIO (sirjeff dennis )yeye ndio yupo kwenye gemu mpaka sasa ni hayo tu kwa kifupi
Mtakuja kua inspired mpk na majini.
Mwingine unamsikia nakua inspired na Polepole.
kwan huyo sio mtu wa kuispaya?Mtakuja kua inspired mpk na majini.
Mwingine unamsikia nakua inspired na Polepole.
Huyo huyo Mkuu alivuma sana sana kipindi cha nyuma MkuuPatrick Ngowi wa Helvetic solar group?
Kuhusu Patrick umedanganya, mara ya mwsho namsikia DPP wa Kenya alisema yuko ndani , probably walikua na mpango wa kumwachia au kumhamishia magereza ya hapa nyumbanPatrick Ngowi siyo mtu wa media sana yupo anaendelea na harakati zake kampuni yake ipo imeajiri vija wengi tu. Fernandes naye yupo ila nadhani app yake haijafanya poa sana maana mwenyewe nimeitumia maramoja.
Mkuu uzi ungependeza zaidi ungewazungumzia kidogo maana siyo kila mtu anawafahamu ila uzi kila mtu yuko huru kusoma.
Hao ni nani na walijishughulisha na nini??