Ukuaji uchumi wa tz ni wa kwenye makaratasi,hauoneshi hali halisi,au unakua kuelekea wapi?
MJIMPYA acha ujinga nawe, uchumi wa nchi gani ukue kwa 7.1%?
1.wakati umeme ni wa shida
2.miradi ya maendeleo imepata 30% ya bajeti mwaka 2011/12
3.Unemployment imeongezeka hadi kufikia 58%
4.misaada na mikopo kutoka nje imeshuka
5.Inflation rate imekuwa double digit for a while now.
ni taarifa za wachumia matumbo
MJIMPYA acha ujinga nawe, uchumi wa nchi gani ukue kwa 7.1%?
1.wakati umeme ni wa shida
2.miradi ya maendeleo imepata 30% ya bajeti mwaka 2011/12
3.Unemployment imeongezeka hadi kufikia 58%
4.misaada na mikopo kutoka nje imeshuka
5.Inflation rate imekuwa double digit for a while now.
ni taarifa za wachumia matumbo