PATACHIMBIKA: UN - Troops in Darfur Allowed to Return Fire

PATACHIMBIKA: UN - Troops in Darfur Allowed to Return Fire

Mbona hawakuwa wamezuiliwa?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
hii sasa itawafanya askari wanalilia kwenda darful wakijua kuwa ni sehemu ya kuchuma pesa bila jasho wajifikirie mara mbili kabla ya kwenda. nadhani hii ruhusa itawafanya hao waasi huko sudan nao kujizatiti zaidi.
 
Kazi ipo waasi wajipange ndege zisizokuwa na rubani toka un zitaanza kutingisha sudan.
 
Mbona unapotosha habari, siku zote ilikuwa hivyo ila tuseme viongozi wetu waliamua kupotosha ukweli au hawakuelewa na hata ukisoma habari yenyewe inamkanusha aliyetoa hiyo habari:

""The UN forces in Darfur operate under Chapter Seven which allows the use of force and in fact in this incident they did return fire," said Mr Cycmanik. He noted that reports that the TPDF soldiers who died in a rebel attack in the troubled Sudanese region were unable to protect themselves are not true.

Cycmanik was clarifying a statement made by the Tanzania People's defence Forces (TPDF) spokesman, Lieutenant Colonel Kapambala Mgawe last Monday, in which he said the country is seeking a review of UN mandate in Darfur to enable peace keeping soldiers retaliate with fire power if attacked."




 
Siasa inatuharibu sana Tanzania yani kuanzia mahospitalini hadi jeshini! Full propaganda na uongo!
 
Back
Top Bottom