xfactor
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,511
- 1,290
Usemalo kweli mkuu ila nakuomba ukiwa wa kwanza kwa ushaur mzuri twende ukajionea mwenyewe, viwanja vipo na bei ndio hiyo tajwa ukishapenda na kutaka kuthibitisha nakujilidhisha tutakupeleka kwa afisa mtendaji nakupata maelezokamili.
Mkuu kuwepo kwa afisa mtendaji bado sio kuthibitisho kuwa eneo sio la magumashi. Mnaweza kumuweke mtendaji feki Au mkapanga mchezo na mtendaji original.
Nimekuomba unipe physical address ya ofisi za kampuni yenu ili nije lkn kimya