Kadi ya gar unaacha maana sasa hiv kumeibuka mtindo mtu anakuachia gar kad anabak nayo halaf anaenda polisi anatoa taarifa kuwa gar lake limeibiwa.kadi ya gari je?
Mi kama unakubali nikuachie kadi nakuandikishiana serikalini nipo tayali ni pm lkn kwakuacha gari hapo pagumu Frank jb
Umeishamaliza kuongea?Kutoa gari na kadi mkuu si rahisi hiyo hata uende wapi utaonekana mpumbavu tu maana hata mabenki au masaccoss yanachukua kadi tu na wanakupatia mpaka mil 10 kutokana na aina au thamani ya gari
Nakushauri weka itv uangalie kwanza taarifa ya habar maana povu linakutoka kwa sababu yang we kama unaona huu uzi haukufai tafadhal kaa kimya, kwanza ningependa nijue wewe n mwanaume ama mwanamke? Nikijua jinsia yako ndio ntajua ntaanzia wap kukujb!Kutoa gari na kadi mkuu si rahisi hiyo hata uende wapi utaonekana mpumbavu tu maana hata mabenki au masaccoss yanachukua kadi tu na wanakupatia mpaka mil 10 kutokana na aina au thamani ya gari
Ok nimekusameheNdg yangu kwani ugomvi?? Basi nisamehe bure mkuu sikujua kama nitaeleweka vibaya sorry 4 dat.
Nakushauri weka itv uangalie kwanza taarifa ya habar maana povu linakutoka kwa sababu yang we kama unaona huu uzi haukufai tafadhal kaa kimya, kwanza ningependa nijue wewe n mwanaume ama mwanamke? Nikijua jinsia yako ndio ntajua ntaanzia wap kukujb!
Ok nimekusamehe
Je akisema kaibiwa vyote..?? Yaani kadi ma gari... by the way 2M naweka gari ya shiling ngapi? Na riba ipoje..? UmekA na gari yangu siku nakurudishia vyako tunaufanyake muda jliokaa na gari tena na kadi yake?Kadi ya gar unaacha maana sasa hiv kumeibuka mtindo mtu anakuachia gar kad anabak nayo halaf anaenda polisi anatoa taarifa kuwa gar lake limeibiwa.