Pata miche bora kabisa ya miembe kwa dar es salaam,utafurahia maembe haya kwani yanazaa kwa kiwango cha juu kabisa,epuka kununua miche kwa wauzaji wa mtaani,bei ya mche mmoja ni 10,000 za kitanzania.Pia utapata fursa ya kutembelea bustani na kuona miche ambayo imeshazaa maembe ujionee jinsi unavyopendeza.Aliye na uhitaji tafadhali njoo PM.