Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,953
Samahani kwa hilo liliojitokeza ila juzi ckuwa mjini nilikua mkoani ila cmu yng inapatikana piga ss ivi utanipata
Samahani kwa hilo liliojitokeza ila juzi ckuwa mjini nilikua mkoani ila cmu yng inapatikana piga ss ivi utanipata
Ok nimekusoma mkuuAsante kaka, pamoja. shakupata.Tumeshawasiliana kwa namba iliyoishia 510
Karibu sanaNi fursa bora
Cctv operator.... hii nayo mnafundisha na ni bei gan?Wadau nafasi zimebaki 18 na cku zimebaki 4 baada cku izo tutafunga daftari la usajili
Shukran
Mkuu nakuja, huu usawa Wa magu, inapaswa ujiongeze vinginevyo unaweza kuishia kulalamika tuu, bila tija..Tarehe 16 mwezi huu tunaanza tena mafunzo ila this tym tutapokea wanafunzi wachache ila kutakua na mgawanyiko kuna watakao soma kwa pamoja muda utakua kuanzia saa 4 asubuhi na atakaejifunza kwa muda wake. Watakao jifunza kwa pamoja ada ni 30000/= kwa atakaejifunza pekee yake ada ni 50000/= kwa darasa la pamoja nafasi ni 20 tu kwa anaehitaji tuwasiliane kupitia namba 0622001223
Cctv installation ni 30,000/=Cctv operator.... hii nayo mnafundisha na ni bei gan?
Karibu mkuuMkuu nakuja, huu usawa Wa magu, inapaswa ujiongeze vinginevyo unaweza kuishia kulalamika tuu, bila tija..
Samahani mkuu ni ku install tu au na kuoperate pia?Cctv installation ni 30,000/=
Ukiweza kuinstal kuoperate pia utaezaSamahani mkuu ni ku install tu au na kuoperate pia?
Mkuu haya mafunzo bado unayatoa??Fursa!!! Fursa!!! Fursa!!!
MoonAfrican light inawaandalia SEMINA maalumu ya mafunzo ya ujasiliamali,yatakayokuwezesha kujikomboa na umaskin Na kujipatia njia Bora Na za kisasa za kutengeneza maisha yako kuwa Na maendeleo zaid
Jifunze namna Bora Na za kisasa za ufugaji wa Kuku,samaki,nyuki Na kilimo cha matikit,vitunguu,uyoga nk,pamoja na kujifunza ufundi wa njia za kisasa wa CCTV CAM SYSTM N MAINTANENC NA DIGITALIZED DISH
pia tunakuwezesha kujua namna ya kujipatia masoko ya bidhaa zako kwa urahis Na kwa faida nzuri
Kwa MAELEZO zaid jiunge kwenye group letu kupitia link hii..
Follow this link to join my WhatsApp group: MOON AFRICAN LIGHT
Tunatoa bdo nichek kwenye namba 0622001223Mkuu haya mafunzo bado unayatoa??
Sisi tulioko mbeya mtatufikia lini?
Nashukuru nduguNyie mnasambaza ujuzi ( elimu?) ndio mnaofaa katika Tanzania ya leo, wengine utafikiri waganga wa kienyeji wanakufa na ujuzi wao kwa tamaa tuu ya kumiliki soko la ajira hiyo na matokeo yake wanaishia kunywa gongo na viroba.