MWANAJAMIA
Member
- Oct 21, 2016
- 47
- 45
Tunatoa mafunzo ya namna ya kufanya installation ya dish za aina zote na pia kufanya installation ya CCTV Camera.
mafunzo ni ya siku tano tano yaani
satelite dish installatuon siku tano
CCTV CAMERA Installation siku tano
jumla ni siku kumi.
Mafunzo haya yataanza rasmi tarehe 15 mwezi huu
Gharama za uchangiaji kwa mafunzo ni tsh 50000
ila kwa watu 20 wa mwanzo watapata punguzo na huvyo watalipia tsh 30000
Utajifunza kufunga dish za aina zote zunazo tumia KU na C BAND
Eneo ambako mafunzo haya yatafanyika ni Dar es salaam Kigamboni.
kwa walo tayari wanaweza kuwasiliana nasi Kwa ajili y maelezo zaidi kupitia
0622001223
0659505081
baadhi ya vijana ambao wamepitia kwetu kwa sasa wanafanya vizuri sana mtaani. Na hizi ni baadhi ya picha zao wakiwa kwenye site.
KARIBUNI SANA
mafunzo ni ya siku tano tano yaani
satelite dish installatuon siku tano
CCTV CAMERA Installation siku tano
jumla ni siku kumi.
Mafunzo haya yataanza rasmi tarehe 15 mwezi huu
Gharama za uchangiaji kwa mafunzo ni tsh 50000
ila kwa watu 20 wa mwanzo watapata punguzo na huvyo watalipia tsh 30000
Utajifunza kufunga dish za aina zote zunazo tumia KU na C BAND
Eneo ambako mafunzo haya yatafanyika ni Dar es salaam Kigamboni.
kwa walo tayari wanaweza kuwasiliana nasi Kwa ajili y maelezo zaidi kupitia
0622001223
0659505081
baadhi ya vijana ambao wamepitia kwetu kwa sasa wanafanya vizuri sana mtaani. Na hizi ni baadhi ya picha zao wakiwa kwenye site.
KARIBUNI SANA