Pata Jezi za msimu mpya

Pata Jezi za msimu mpya

Sio Mabingwa ila uzi wao ni mkali kinyama.

Chukua size yako chap kwa Tsh 18,000/= kuanzia pcs 5

Au Tsh 22,000/= 1pc
IMG-20230611-WA0002.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Jezi zao tu zinachanika Kwa purukushani kidogo Tu mfano ya stone, na sio mara moja jezi kuchanika uwanjani.Sasa original gani zile? Sifa ya original ni kudumu . Hivyo ni kama hamna tofauti na tunazouziwa bongo.
 
Una maana Gani unaposema ni original kiongozi?

Yaani rangi zake ni original, itakuwa anamaanisha hivyo labda...

Hapo ukitazama jezi zote material ileile kitu ambacho si kweli maana brands si moja...
 
Kama upo mkoani na unahitaji mzigo hata Jezi 1000PCS zinapatikana na utatumiwa na mzigo utaupata kwa wakati.

Call 0622882036



Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom