Ebu acha fix wewe ulikuwa kwenye kamati mpk useme hivyo?unaweza kuta baba mkwe chezea watu wa bukoba na umesikia mke jina Praxeda unategemea ubini utakuwa nani?
watu muwe japo mnafikiria kidogo;izo noti zimepangwa moja moja...column ina noti 20 mara 10,000 ni laki 2 while horizontal in 3 ukizidisha haizidi laki 6
watu muwe japo mnafikiria kidogo;izo noti zimepangwa moja moja...column ina noti 20 mara 10,000 ni laki 2 while horizontal in 3 ukizidisha haizidi laki 6
Yani ni mshamba sijapata ona alafu eti ni mke wa myamba na umaarufu wake wote kamtia aibu sana,huo mda aliopoteza kushona angekodi gauni zuri na alivo angepata make up artist mzuri,weeee
Yani ni mshamba sijapata ona alafu eti ni mke wa myamba na umaarufu wake wote kamtia aibu sana,huo mda aliopoteza kushona angekodi gauni zuri na alivo angepata make up artist mzuri,weeee