Passwords Zinantesa!

tumia password hii: j^m!1f@rum$. Nalog off
 
ili password iwe na nguvu malizia na 100. eg kongosho100fb,kongosho100jf,kongosho100yahoo, kongosho100gmail,kongosho100myspace etc. Mia
 
cha muhimu ni kuwa na password moja ambaya itakuwa easy kuikumbuka. achan na milolongo mingi ambayo itakuchanganya na kukuumiza akili.
 
cha muhimu ni kuwa na password moja ambaya itakuwa easy kuikumbuka. achan na milolongo mingi ambayo itakuchanganya na kukuumiza akili.

Ni kweli anachosema nizzo kuwa na password moja itakupunguzia mzigo wa kumbukumbu.unakuwa na password yako moja ngumu nzuri.try and you will tell us.
 
Kuna watu wana password za matusi. Nilishdwa kuvumilia nikaachana na tabia na ku hack account za watu.
 
passwords zangu zilizokaa kichwani nyingi ni jina na tarehe za kuzaliwa X girlfriend wangu!napenda kuzibadilisha ila ndo zishakaa kichwani basi inakuwa ngumu kumsahau...nimeamua kuzichunia tu kibishi!nikienda bank namkumbuka,nikizama mitandaoni namkumbuka basi balaa!
 
Duh! Mi passwords zangu za mitandao huwa zinafanana.
Kongosho ulisomaga history?
 

tumia husninyo. Lol.
 
Unaweza tumia pasword moja katika shughuli zako zote zinazo hitaji kutumia pasword, ila unahakikisha pasword yako inakua strong na unaibadili mara kwa mara.
 
Ngoja nikuazime zangu ili uzitumie kwa muda,ni rahisi kuzihifadhi na ni vigumu kwa hackers kuzishtukia.
Nalog off
 
..na bado kwenye simu zako umeweka security code/password
..unaweza kuzichanganya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…