mzuri homy
Member
- May 24, 2014
- 16
- 1
Jamani naomba kuuliza hivi kwa nini mume au mke, girlfriend or boyfriend wanawekeana password kwenye simu?
Kuna nini hapo kinachofichwa?
Au michepuko ndo mingi?
Je ni halali kwa mume au mke kuwekeana password?
Kuna nini hapo kinachofichwa?
Au michepuko ndo mingi?
Je ni halali kwa mume au mke kuwekeana password?