ruphem2003
Member
- May 14, 2011
- 18
- 0
Habari ya saizi wana JF,minaombeni msaada kama kuna mtu ambaye anajua jinsi ya ku hack password protected excel file,yani nikwamba kuna files nataka kufungua,ni za excel lakini nashindwa kuona contents kutokana na kwamba zina password,je kuna jinsi ya kuzi unlock,tafadhali naomba nisijibiwe vitu kama "muombe password mtu aliyezifunga" naomba jibu lenye akili....