Passibly Ethiopians Airlines Boeing 737 Max Could be Gunned Down

Passibly Ethiopians Airlines Boeing 737 Max Could be Gunned Down

Ethiopian Airline possibly was.... hii ndiyo ingekuwa sentensi sahihi kwa alichotaka kueleza
Lakini taarifa hiyo kama ilivyotanabaishwa ni "breaking news"! Muda mfupi uliopita.Unaelezaje taarifa katika tenses za muda mfupi uliopita?
Ime...au
Ili...au
Ita..
 
Hahaha watanzania kama mosad, walijua hiyo ndege ingeanguka wakatonyana nchi nzima, na waliitikia wito hakuna aliyepanda hiyo ndege.
Mpaka sasa hakuna mtanzania aliyetaarifiwa kufariki kwenye ajali hiyo.
Na riport kutoka eneo la tukio, ni mimi mtanzania mzalendo wa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mosad wapi wewe! Hii ina-prove purchasing power ya watanzania ni below average. Elites ndio wanatumia usafiri wa ndege and are very few!
 
Toleo jipya la ndege linatoka, rubani anasoma manual leo pamoja na troubleshooting kesho anarusha ndege, wawe serious na maisha ya watu
Nimesikia kwenye reports za mwanzo eti marubani hawajaenda training ya izo ndege yani ni total foolshness kwa management yao
 
Jionee aibu kwa kuandika hayo..
Hapana huwezi jua labda nafanya utafiti, ni asilimia ngapi watanzania wanampenda Tanzania one kwa sasa hii yote naogopa kunyang'anywa Uraia wangu kama Idan wa twaweza kumbuka wanadam akili zao ni dynamic siku zote wanatafuta plan B,Kwa hiyo tulia mpaka mwisho tuone nitakupa matokeo,
 
kama ndege inaendeshwa kwa kiasi kikubwa na mfumo wa kompyuta, hakuna uwezekano wa attack kuwa electronic pia!? Maana teknolojia inakua kwa kasi sana na attacks sio lazima ziwe ni mabomu tu.

Kwa hivyo ni kweli mleta mada hana ushahidi wowote so far lakini I think its also too early to rule out an external "attack" as a cause of engine malfunctioning. Naamini hata wanaochunguza watakuwa na hili ninachokisema kama mojawapo ya "hypotheses" za kuongoza uchunguzi wao
Hii ni ndege ya pili kuanguka ndani ya miezi Kitano na ndege ya kwanza faced the same problems of vertical speed loss, a statement from Boeing, the manufacturer. In scientific analysis, guess work have no room.
 
Hii ni ndege ya pili kuanguka ndani ya miezi Kitano na ndege ya kwanza faced the same problems of vertical speed loss, a statement from Boeing, the manufacturer. In scientific analysis, guess work have no room.
Yes, but wanafanya investigation ya nini kama majibu wanayo? Naamini bado hawaajui sababu hasa ya ndege hiyo kuanguka. Nafikiri wakishapata data za black black box, wataanzia hapo.
 
Mosad wapi wewe! Hii ina-prove purchasing power ya watanzania ni below average. Elites ndio wanatumia usafiri wa ndege and are very few!
Hahaha wao wanasema Ethiopia kuna nini hadi waende huko?!
 
Mi naona kama kuna uwezekano hizi ndege ziwe na parachuti ,tatizo lolote linapotokea zinajifungua automatic
 
Tokea juzi itokee ajali hii kwa ghafla Tanzania imezalisha wataalam wengi wa mambo ya angla. Kwe sisi ni watu wa matukio.
 
Back
Top Bottom