The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,551
- 20,346
GT
Hapa ngosha Mayala nadhani alikuwa ameshukiwa na roho mtakatifu na kuongea ukweli.
Msikilize, anakasirishwa sana na maCCM kuendekeza unafiki nafiki na kuficha ukweli aomba simba aachiwe aje ulingoni kupambana na Bi kizimkazi.
Alichozungumza Paschal Mayalla: Kazi ya uandishi wa habari ni kama wahadhiri, tunatakiwa kuwa wakweli bila kupindapinda. Nakerwa na hii tabia ya kuzungumza kusema kuwa "Kama CCM itarudi madarakani kwenye uchaguzi". Hii sentensi mimi siipendi kwa sababu hauwezi kushindana na kivuli halafu ukasema "Kama utarudi".
Pia soma GE2025 - Paschal Mayala: Pongezi kwa serikali ya CCM, tume ya uchaguzi kwa kuweka usawa
Mimi nakushauri Prof Kitila unaweza kumshauri Dada Mkubwa hata kale kasimba ka Kizimkazi, kaacheni kidogo halafu muone. Hapo mtakuwa mmeshinda kweli.
Hapa ngosha Mayala nadhani alikuwa ameshukiwa na roho mtakatifu na kuongea ukweli.
Msikilize, anakasirishwa sana na maCCM kuendekeza unafiki nafiki na kuficha ukweli aomba simba aachiwe aje ulingoni kupambana na Bi kizimkazi.
Alichozungumza Paschal Mayalla: Kazi ya uandishi wa habari ni kama wahadhiri, tunatakiwa kuwa wakweli bila kupindapinda. Nakerwa na hii tabia ya kuzungumza kusema kuwa "Kama CCM itarudi madarakani kwenye uchaguzi". Hii sentensi mimi siipendi kwa sababu hauwezi kushindana na kivuli halafu ukasema "Kama utarudi".
Pia soma GE2025 - Paschal Mayala: Pongezi kwa serikali ya CCM, tume ya uchaguzi kwa kuweka usawa
Mimi nakushauri Prof Kitila unaweza kumshauri Dada Mkubwa hata kale kasimba ka Kizimkazi, kaacheni kidogo halafu muone. Hapo mtakuwa mmeshinda kweli.